Kwahiyo hii ndio source๐๐๐๐. Halafu mshawahi kujiuliza ni hormone gani hiyo inamgeuza mtu kuwa hao muwatakao๐๐๐๐. Ninani alikwambia hao watu wana hormonal imbalances kwanza๐๐๐. Nchi hii acha kila mtu aishi maisha yake, ila yote haya ni athari ya mapicha ya ngono, ndio maana mnaambiwa malezi, malezi narudia tena malezi. Tena utawakuta wana testosterone levels kuliko huyo rijali umjuaye wewe. Acheni siasa๐๐๐Sorry ni kwelini mbaya sikuchunguza ulikuwa unamaanisha kivipi
Sawa mkuuSijathibitisha lkn walimu kazi yao ni kuhakikisha zinawafkia watoto
Upo makini sanaa mkuuView attachment 2573407
Nikiunganisha dots za huyo dogo aliyekaa kwenye wheelchair hiyo tshirt aliyoivaa na hiyo bendera naanza kuamini hii kitu ipo kimkakati