Mtaala Mpya wa Elimu Kenya, Competency Based Carriculum (CBC). Sisi bado tuko busy na kukaririsha watoto

Mtaala Mpya wa Elimu Kenya, Competency Based Carriculum (CBC). Sisi bado tuko busy na kukaririsha watoto

Mbona hakuna cha ajabu hapo,hizo study tour zipo siku zote tena mashule kibao tu hapa hapa Bongo, au unadhani hiyo mitaala kwa hapa Bongo hakuna? Sema hivi,uwezo wa ku afford School fees kwa shule za hiyo mitaala ndiyo mtihani lakini Shule zipo tena nyingi tu,wewe tu na Wallet yako,ukitaka hata wawe wanaongea ile English kama ya kwa Malikia zipo pia,nenda pale Braeburn,HOPAC,ISM,IST na nyingine nyingi tu zipo hapa hapa Bongo.

Hapo Kwenye wallet ndo shida bongo na aina ya shule ulotaja.
Mi Kenya hata million haifiki kwa mtoto 1 na wapo boarding na shule si hizo ulotaja ni za kawaida kabisa.
Sema huku kwetu Ccm inatambua ikisimamia elimu ipasavyo watu wataamka watajitambua ndo maana huko haipagusi ng’o
 
International school hawafuati mitala ya Tanzania, Kenya wamebadili mitaala yao kwa nchi nzima, hivi wewe ni asilimia ngapi ya Watanzania wanasoma hizo International school unazo sema? Nazani hata asilimia 1 haifiki

Mwambie huyo
 
Elimu bila mitihani hiyo sio elimu hata mara moja. Marekani, Uk, Norway kote wanafanya mitihani na bado ukitaka kwenda nje ya nchi kusoma wanataka tena ufanye mtihani wao wa kiingereza ili kukupima huko marekani ndio unafanya na pepa la hesabu. Msije mkadanganywa ninyi elimu bila mitihani sio elimu.
 
Elimu bila mitihani hiyo sio elimu hata mara moja. Marekani, Uk, Norway kote wanafanya mitihani na bado ukitaka kwenda nje ya nchi kusoma wanataka tena ufanye mtihani wao wa kiingereza ili kukupima huku marekani ndio unafanya na pepa la hesabu. Msije mkadanganywa ninyi elimu bila mitihani sio elimu.
hakuna mtihani wa taifa tu.
 
Hio mitala ipo shule zipi? Landa unazungumzia Internatioanal School ambazo hazifuato mitala ya Bongo. Ila unataka kusema hizi hizi shule za kawaida kuna zenye mitaala yao? Hahaa na paper je?

Niliyemquote anaonekana kabisa mlengo wake umeegemea kwa hizo hizo International School,ndiyo maana kwa comment yake kuna mahali amesema watoto wake wanataka kumletea uzungu mwingi kama Study tour kibao,ndiyo maana nikamjibu kama ni hivyo,mbona hizo Shule hapa zipo tele,hakuna cha ajabu.

Wewe hapa walau unafafanua vizuri hoja yako,hapa tupo pamoja Mkuu.
 
Bongo kielimu bado tunabutua kulingana na dunia inavyobadilika kila leo
 
Huu mfumo nashangaa watu kuushangilia, hii ya kushindanisha mashule ni academic suicide, Shule hujikita kuandaa watoto kujibu mitihani ikiwemo kusolve past paper mwaka mzima. Watoto nje ya Mitihani hakuna wanacho toka nacho shuleni, na triend huenda Secondary hadi Chuo, angalia watoto wa Secondary hakuna wanacho toka nacho pale na now day hata vyuoni
Mungu nijalie nipate mafezwa mwanangu asome international school huu ujinga wa kukariri na kupata tu A ka kigezo Cha akili Mimi kwangu naona Kuna uwalakini
 
Hapo Kwenye wallet ndo shida bongo na aina ya shule ulotaja.
Mi Kenya hata million haifiki kwa mtoto 1 na wapo boarding na shule si hizo ulotaja ni za kawaida kabisa.
Sema huku kwetu Ccm inatambua ikisimamia elimu ipasavyo watu wataamka watajitambua ndo maana huko haipagusi ng’o

Kama Shule Kenya haifiki hata Milioni Moja (I guess Kenyani Money) but kama ni pesa ya kibongo itakuwa ajabu sana na ni nafuu zaidi kuliko hizi zetu.Lakini nina Nephew na Niece wapo GreenSteds Nakuru,ada yao ni usipime.
 
Rejea Kauli ya waziri wa mambo ya ndani kuhusu waajiliwa wa jeshi la polisi haingii akilini kabisa ile kauli na ndo maana hata mahakamani maswali yanawashinda ( tourism & terrorist)
Ok jambo jingine ni ile eti mbunge la 7 driver form 4
Tanzania shida yetu kila jambo lishawekwa kwenye SIASA
 
Kama Shule Kenya haifiki hata Milioni Moja (I guess Kenyani Money) but kama ni pesa ya kibongo itakuwa ajabu sana na ni nafuu zaidi kuliko hizi zetu.Lakini nina Nephew na Niece wapo GreenSteds Nakuru,ada yao ni usipime.
HAIWEZ KUA MADAFU YETU LABDA PALE KWENYE NDIZ NYINGI KWA MZEE MUSEVENI WAYBACK NILIKUA NALIPIA JIWE 7 TU YA KIBONGO NA NIKO BOARDING,UKITOKA HOME UMEWASETI ADA 1.5 DUU.
napamisi sana pale broadway highschool kawempe nilipojifunzia kupiga urabu
 
Mungu nijalie nipate mafezwa mwanangu asome international school huu ujinga wa kukariri na kupata tu A ka kigezo Cha akili Mimi kwangu naona Kuna uwalakini
Hahaaa ni ujinga mkubwa mno na wazazi hawashituki mkuu,
 
Back
Top Bottom