BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
- #41
Hakuna Mtihani wa Taifa, mitihani iko levo za shule, umeelewa? Mbona iko Mataiga mengi? Kilicho futwa ni mtihani wa TaifaElimu bila mitihani hiyo sio elimu hata mara moja. Marekani, Uk, Norway kote wanafanya mitihani na bado ukitaka kwenda nje ya nchi kusoma wanataka tena ufanye mtihani wao wa kiingereza ili kukupima huku marekani ndio unafanya na pepa la hesabu. Msije mkadanganywa ninyi elimu bila mitihani sio elimu.