Mtaala mpya wa elimu, walimu jiandaeni kurudi shule

Mtaala mpya wa elimu, walimu jiandaeni kurudi shule

Jaribuni muone...

Walimu wa Diploma walio Sekondari ndio walimu tegemeo. Kuliko hizo degree fake.

Msijaribu kufanya kosa hili...
Let's be honest with time secondary schools zitalazumika kuwa na walimu graduates huo ndiyo ukweli.
 
Elimu ya Tanzanua mbwembwe nyingi utekelezaji sifuri. Wanabadili mitaala lakini hakuna tija yoyote.
Unaanzisha mada za computer halafu shuleni hakuna umeme wala kompyuta zenyewe, huo si uhawayani.
Hakuna mahusiano yoyote kati ya diploma na elimu ya msingi, ni mbwemmbwe tu.
Elimu ya Tanzania inahitaji resource na rasilimali watu.
Mwalimu mmoja anafundisha masomo 4 na zaidi, hivi kuna tija hapo hata kama mwalimu ana digrii.
Sawa lakini lazima tuanzie somewhere, na pa kuanzia ni SERA na MITAALA then hayo mengine yatafuata mkuu...
 
Niliandika kuwa sera ya Elimu ya mwaka 2014 ilitamka kuwa Kiswahili kitakuwa lugha ya kufundishia nwa ngazi zote
Si kweli . Sera ya Elimu 2014 ilisema Kiingereza na Kiswahili zitakuwa ni instructional languages sawia kutokana na Medium ya shule husika.

Alafu acha ubishi basi.. au!??
 
Let's be honest with time secondary schools zitalazumika kuwa na walimu graduates huo ndiyo ukweli.
Kwasababu ndio product zinazotoka chuo. Hilo haliwaondolei sifa na ubora walimu wa Diploma
 
Ualimu
Sekta ya Afya
Wapelekwe waliofaulu tu, waliofeli watafute vitu vingine vya kufanya
Uko sahihi kabisa, wakati niko SUA miaka ya nyuma, wale waliokuwa vipanga na kumaliza chuo na GPA kali ndiyo walikuwa wanabakishwa chuoni na baadae wanaendelea Masters na kuwa assistant lecturers. Shida ya huku ualimu wa primary na sekondari ni maslahi duni, kiasi kwamba sidhani kama wenye Div 1 na 2 watakubali kwenda ualimu.
 
Uko sahihi kabisa, wakati niko SUA miaka ya nyuma, wale waliokuwa vipanga na kumaliza chuo na GPA kali ndiyo walikuwa wanabakishwa chuoni na baadae wanaendelea Masters na kuwa assistant lecturers. Shida ya huku ualimu wa primary na sekondari ni maslahi duni, kiasi kwamba sidhani kama wenye Div 1 na 2 watakubali kwenda ualimu.
Finland unakuta huku chini wanafundishwa na watu wenye elimu kubwa sana.

Kingine Watz tunawahisha watoto kusoma, wengi akili hazijakomaa
 
Si kweli . Sera ya Elimu 2014 ilisema Kiingereza na Kiswahili zitakuwa ni instructional languages sawia kutokana na Medium ya shule husika.

Alafu acha ubishi basi.. a

Mkuu ukiulizwa ulipoandika roporopo ulimaanisha nini na hiki ulichotuma kina maudhui gani unaweza kujenga hoja kweli?
Niliandika kuwa sera ya Elimu ya mwaka 2014 ilitamka kuwa Kiswahili kitakuwa lugha ya kufundishia nwa ngazi zote.
Nioneshee hiyo roporopo hapo.
To make the story short...soma Sect 3.2.19 katika sera ya Elimu ya mwaka 2014 halafu pitia rasimu ya 2023 kisha niambie nimeandika roporopo.
 
Maelezo ni lazima wafike Form six Ili wawe na sifa ya kufundisha primary
Mkenda ni mkombozi wa elimu yetu km haya maono yatakubaliwa na kutekelezwa kikamilifu.
Ila kwa upande wa walimu ni changamoto kubwa sana hasa kwa masomo ya science and mathematics. Walimu wengi wa masomo haya ordinary level ni diploma holder,sasa uwachomoe wote shuleni ili waende kujiendeleza halafu nini kitakachobaki nyuma?

Ni mhimu sasa kuanza kusitisha kuajiri diploma holder kwa ngazi ya secondary ili wanaendelea na course vyuoni basi wachukue degree ili baadae mfumo una ji set wenyewe.

Hili jambo ni jema sana lisipochukuliwa kisiasa,lkn likifanyika kwa papara hapo kati kutakuwepo na uhaba mkubwa sana wa walimu wa masomo tajwa. Kila la kheri Mkenda,nili yasubiria muda mrefu sana mabadiliko unayoyalenga.
 
Nenda kajionee.. Nani private ana shida na mivyeti yako. Piga kazi... Over.
Sasa upige kazi kwa ujuzi upii? Graduates wako kitaa chungumzima na hawana ajira, kijana wangu aliyemaliza UDOM kapiga private school kwa miaka 2 ndo akapata ajira kwenye NGO. Sasa why wachukue form 6 na waache graduate??
 
Tatizo la hii rasimu siyo yaliyopebdekezwa ila ni maoni ya walengwa na muda wa kuyachukua lakini tatizo kubwa zaidi ni maoni hayo kuingizwa hata kama yatakuwepo maoni mazuri zaidi.
Hili nalo vipi?.. wataalamu wanaabudiwa sana, upenyo wa mawazo ya wazawa " indigineous knowledge" ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu sindano.
Ipo wapi nafasi ya maarifa asili ya jamii kwenye sera yetu hapa namaanisha " indigineous/ community based knowledge?.
Miaka ya 2008 ipo kuna eneo waliweza kuhifadhi uoto n viumbe Kwa ufanusi kupitia " indigineous knowledge" (NYUMBANITU) Leo maarifa hayo yalindwa na nini?
...................
Kaizen
 
To make the story short...soma Sect 3.2.19 katika sera ya Elimu ya mwaka 2014 halafu pitia rasimu ya 2023 kisha niambie nimeandika roporopo.
Duhh we jamaa kiboko.. we ni muha!??🤣🤣🤣🤣😂

Soma hii...👇👇
Screenshot_20230514-203033.jpg
 
Huu mtaala ni mzuuri lakin siyo sanaa Sasa hapa kwenye utekelezaji ni zero kwanz mm naona ni siasa tuu unawezaje kusema darasa la kwanz mpka form four Huku hujaboresha miundombinu mfano kata Moja Ina shule za msingi 6 mpka 5 Alfu shule ya secondary ipo Moja kata nzima ndo ihudumie shule 6 za msingi,,,, Alfu hiyo shule Moja ya secondary unakuta Ina changamoto ya Madarasa Yani wanafunz hawatoshelezi kweny Madarasa,, imagine watoto waunganishe kutoka la kwanza mpka secondary kama hatuendo kutengeneza zero nyingi kwa sabab ya changamoto za miundo mbinu kama vyoo, maji pamoja na mazingira kwa ujumla Kuna baadhi ya wanafunzi wapo mbali na shule ya sekondari watahitaji waishi bwenini Ili Kuwa karibu na shule,, na masomo ya secondary siyo kama msingi inahitaji mtot ajipange vizuri kimazingira.
Kwangu mm sion huu mtaala kama utaleta faida kama wanataka faida waboreshe miundo mbinu kama kujenga Madarasa kutengeneza mazingira Bora.

Tusifurahie mtaala huu mzuri tifikirie upande wa pili mfano kwenye mtaala huo nimeona wanasema mason ya tehema (technology) yatakuwa kipaumbele je vitendea kazi vipo kama walimu wa kufundisha hayo masomo lakini pia hizo computer 🖥️ zipo kwa ajili ya kujifunza kwa upande wa practically,, na hizo computer zitahitaji kuendeshwa kwa umeme, mfano Huku kwetu shule Ina zaidi ya miaka 40 lakin Haina umeme so hapo serikari imejipanga kivip au ni siasa tuu

Kwenye kusema hapo walimu sjui wa shule msingi wakafanye mitihani ya form six hicho kitu kigum coz Kuna baadhi sifa za kufanya mtihani wa form six mfano Kuna shule Moja Kuna mwalimu ana certificate lakin kwenye cheti chake ana four ya 28 Yani Hawa ndo wale walokua wakihitim Kipindi JK maana hat zile credit za kwenda advance Hana Sasa huyo umrudishe tena form six kumferisha tuu

Kiufupi huu mtaala upo vizur lakin bila kuboresha miundombinu huu mtaala hauna faida yeyote na wanafunzi wanaweza hitimu lakin wasiambulie kitu
 
Diploma kufundisha sekondary sio sahihi hana tofauti na form six

Ndio.maana shule nyingi za sekondary za serikali zina matokeo mabaya sana

Private walikojaa walimu wenye digrii kuko vizuri.mno
Sikubaliani na wewe. Walimu wa diploma kwa o level wanafaa sana, na huwa wako deep kuliko hao wa University. Ufaulu Private huchangiwa na mambo mengi. Mfano huchagua wanafunzi wazuri tu huku sekondari za umma zikihamishiwa darasa la saba zima bila mchujo wa maana.

Pia, wana miundombinu ya kutosha na hata teacher to student ratio si kubwa kivile. Kama hujui miaka ya nyuma (2000 kurudi nyuma, o level zote zilikuwa na walimu wa diploma tu, lakini ufaulu ulikuwa mzuri kuliko hizo private. Sababu, sekondari zilikuwa chache sana na hivyo mchujo wa maana.
 
Mkenda ni mkombozi wa elimu yetu km haya maono yatakubaliwa na kutekelezwa kikamilifu.
Ila kwa upande wa walimu ni changamoto kubwa sana hasa kwa masomo ya science and mathematics. Walimu wengi wa masomo haya ordinary level ni diploma holder,sasa uwachomoe wote shuleni ili waende kujiendeleza halafu nini kitakachobaki nyuma?

Ni mhimu sasa kuanza kusitisha kuajiri diploma holder kwa ngazi ya secondary ili wanaendelea na course vyuoni basi wachukue degree ili baadae mfumo una ji set wenyewe.

Hili jambo ni jema sana lisipochukuliwa kisiasa,lkn likifanyika kwa papara hapo kati kutakuwepo na uhaba mkubwa sana wa walimu wa masomo tajwa. Kila la kheri Mkenda,nili yasubiria muda mrefu sana mabadiliko unayoyalenga.
Wazo lako liko sawa kabisa.
Serikali itangaze kabisa ili walio mitaani wajue kabisa.

Na Elimu ya Awali ndo wafundishwe na Diploma,Msingi wafundishwe na Shahada, Seko Shahada, A level Shahada

Tuondoe uozo

Hao wengine wapewe muda wa kujifunza kukidhi mahitaji ya sasa
 
Duhh we jamaa kiboko.. we ni muha!??🤣🤣🤣🤣😂

Soma hii...👇👇
Mkuu una mambo ya ajabu sana sijui kama unafahamu.
Soma hapo nilipokuelekeza suala la kabila la mtu halihusiki hapa kabisa.
 
Back
Top Bottom