Huu mtaala ni mzuuri lakin siyo sanaa Sasa hapa kwenye utekelezaji ni zero kwanz mm naona ni siasa tuu unawezaje kusema darasa la kwanz mpka form four Huku hujaboresha miundombinu mfano kata Moja Ina shule za msingi 6 mpka 5 Alfu shule ya secondary ipo Moja kata nzima ndo ihudumie shule 6 za msingi,,,, Alfu hiyo shule Moja ya secondary unakuta Ina changamoto ya Madarasa Yani wanafunz hawatoshelezi kweny Madarasa,, imagine watoto waunganishe kutoka la kwanza mpka secondary kama hatuendo kutengeneza zero nyingi kwa sabab ya changamoto za miundo mbinu kama vyoo, maji pamoja na mazingira kwa ujumla Kuna baadhi ya wanafunzi wapo mbali na shule ya sekondari watahitaji waishi bwenini Ili Kuwa karibu na shule,, na masomo ya secondary siyo kama msingi inahitaji mtot ajipange vizuri kimazingira.
Kwangu mm sion huu mtaala kama utaleta faida kama wanataka faida waboreshe miundo mbinu kama kujenga Madarasa kutengeneza mazingira Bora.
Tusifurahie mtaala huu mzuri tifikirie upande wa pili mfano kwenye mtaala huo nimeona wanasema mason ya tehema (technology) yatakuwa kipaumbele je vitendea kazi vipo kama walimu wa kufundisha hayo masomo lakini pia hizo computer 🖥️ zipo kwa ajili ya kujifunza kwa upande wa practically,, na hizo computer zitahitaji kuendeshwa kwa umeme, mfano Huku kwetu shule Ina zaidi ya miaka 40 lakin Haina umeme so hapo serikari imejipanga kivip au ni siasa tuu
Kwenye kusema hapo walimu sjui wa shule msingi wakafanye mitihani ya form six hicho kitu kigum coz Kuna baadhi sifa za kufanya mtihani wa form six mfano Kuna shule Moja Kuna mwalimu ana certificate lakin kwenye cheti chake ana four ya 28 Yani Hawa ndo wale walokua wakihitim Kipindi JK maana hat zile credit za kwenda advance Hana Sasa huyo umrudishe tena form six kumferisha tuu
Kiufupi huu mtaala upo vizur lakin bila kuboresha miundombinu huu mtaala hauna faida yeyote na wanafunzi wanaweza hitimu lakin wasiambulie kitu