Mtaala mpya wa kidato cha kwanza 2025; Somo la Biashara ni lazima kwa wanafunzi wote nchini?

Mtaala mpya wa kidato cha kwanza 2025; Somo la Biashara ni lazima kwa wanafunzi wote nchini?

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Wajumbe nimepitia mtaala mpya nikakuta masomo 6 ya lazima moja wapo ni somo business studies ikielezwa kwamba ni mbadala wa commerce. Somo hili linaambatana na hesabu, historia ya Tanzania 🇹🇿 , Kiswahili, Kiingereza na Jiografia. Masomo 6 ya lazima, kama business studies(commerce) zamani ni lazima, book keeping inakuaje sio ya lazima.

Huu ndio msimgi wa swali langu. Mbaba mmoja lielezea hii kitu wakati flan mwaka jana, TBC hembu fafanua hapa,

Wanafunzi wa f1 2025 watatakiwa kusoma hayo masomo 6, mbona book keeping haipo? Kama ataiongeza book keeping kama opt fine kwa hiyo wasiosoma biashara watasoma matano pekee?
 
Wasilete mambo yale 1993 Unified science ( chemistry, physics, Biology) Social studies (Geo, Hist, civ) ilikuwa kazi sana. Matokeo mnasoma somo moja tuu mwaka mzima.
 
Inapigwa double trouble yaan commerce unaiunga na book keeping na chemistry unaiunga na physics hivyo yaan ndio viongozi hao yeye aaah anavuta mpunga mererani anakodi duara anasubiri shimo liteme
katika vituko ambavo vilishafanywa kwenye elimu ya tanzania, kile cha mungai kilikuwa funga kazi. hv bado yupo hai kwel!!!?
 
Ngoja mwaka uanze tutaona huko inakuwaje
Mi hapo kwenye business nawaza walimu wake itakuwaje maana ni wachache sana
 
Ngoja tufungue tuone....
Ila kuna vutuko vingi tuvitarajie..
 
Hio business studies itakuwa imechanganywa Book Keeping na commerce

Ni jambo zuri sana, Kuna fani za biashara kama uhasibu wanafunzi waandaliwe mapema.

Shule nyingi wanafunzi wakifika form 3 ni aidha uchague sayansi au art, ni jambo jema kuongeza biashara.
 
Elimu ya Tanzania ni Mazingaombwe,haieleweki kwa walimu na Wanafunzi😭
 
Back
Top Bottom