Mtaala mpya wa kidato cha kwanza 2025; Somo la Biashara ni lazima kwa wanafunzi wote nchini?

Mtaala mpya wa kidato cha kwanza 2025; Somo la Biashara ni lazima kwa wanafunzi wote nchini?

Mambo ya Physics with Chemistry.

Hivi kwanini Wizara ya Elimu isingekuwa inatenga Shule au mkoa fulani kuufanyia majaribio kabla ya kupitisha mitaala kwa nchi nzima.?

Wanacheza na fahu za wanafunzi. Watu watasoma miaka miwili then itatolewa na kuletwa mitaala mingine. Huu ni ubadhirifu wa mali za uma.
 
Wajumbe nimepitia mtaala mpya nikakuta masomo 6 ya lazima moja wapo ni somo business studies ikielezwa kwamba ni mbadala wa commerce. Somo hili linaambatana na hesabu, historia ya Tanzania 🇹🇿 , Kiswahili, Kiingereza na Jiografia. Masomo 6 ya lazima, kama business studies(commerce) zamani ni lazima, book keeping inakuaje sio ya lazima.

Huu ndio msimgi wa swali langu. Mbaba mmoja lielezea hii kitu wakati flan mwaka jana, TBC hembu fafanua hapa,

Wanafunzi wa f1 2025 watatakiwa kusoma hayo masomo 6, mbona book keeping haipo? Kama ataiongeza book keeping kama opt fine kwa hiyo wasiosoma biashara watasoma matano pekee?
Masomo mengine ni ya ajabu.
Kupunguza tatizo la ajira kwanini wasiige Kenya mfumo wa CBC. Kuliko kumfundisha mtoto bookeeping n commerce kwanini wasifundishwe

Coding, Microsoft Excell, word, powerpoint na ufundi stai
 
Back
Top Bottom