ZVI ZAMIR
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 921
- 2,163
Mambo ya Physics with Chemistry.
Hivi kwanini Wizara ya Elimu isingekuwa inatenga Shule au mkoa fulani kuufanyia majaribio kabla ya kupitisha mitaala kwa nchi nzima.?
Wanacheza na fahu za wanafunzi. Watu watasoma miaka miwili then itatolewa na kuletwa mitaala mingine. Huu ni ubadhirifu wa mali za uma.
Hivi kwanini Wizara ya Elimu isingekuwa inatenga Shule au mkoa fulani kuufanyia majaribio kabla ya kupitisha mitaala kwa nchi nzima.?
Wanacheza na fahu za wanafunzi. Watu watasoma miaka miwili then itatolewa na kuletwa mitaala mingine. Huu ni ubadhirifu wa mali za uma.