t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
+1Hii inakupa tafsiri kwamba shida ya watanzania wengi si mitaji, bali hofu ya kuanzisha project zao binafsi na kuzikuza, wanaishia kudandia fake projects kwa matarajio ya kulinda mitaji huku wakivuna faida
Nimekuelewa Sana , watu Wana mitaji Ila wanaogopa kuanzisha project
Sent