gachacha
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 2,584
- 3,977
Ukisikia video yake ya mwisho mr. Kuku ni kuwa akaunti zao zote zimekuwa frozen zinachunguzwa na serikali, hivi unadhani huo uchunguzi unaisha leo? na je kuna faida tena hapo ya kurudisha gawio!?
Haaaa ndo wanasema ivo Mr kuku kuwa wamezi hold account, apo tayari wamesha liwa mapemaa