hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
HahaaMotivation Speaker
Karibuni Sana Kwenye Thread Ya Mafanikio
Wengi Walianza Ufugaji Wa Manyoya Mpaka Wakapata Kuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaMotivation Speaker
Karibuni Sana Kwenye Thread Ya Mafanikio
Wengi Walianza Ufugaji Wa Manyoya Mpaka Wakapata Kuku
Hahaha daahhunaanza na mtaji wa laki 1 na nusu baada ya mwaka unakuwa na kuku elfu 10. haaa haaa dakeki
HahahaMkuu umenikumbusha shule ya msingi tulikuwa tunaweka nyoya la tausi katikati ya daftari tukiamini atakua ndege mzima! Kumbe zile akili kuna watu wamekua nazo!
HahaaMotivesheno spika siyo watu [emoji16][emoji16]
View attachment 1504017
Umenikumbusha jambo ambalo kidogo nigombane na wife kuhusu hisa za voda baada ya Kung,ang,ania tununue hisa nikakataa. Maendeleo yake yakoje kiongozi ili nirudishie mrejesho kwa wifeMiaka ya nyuma ziliuzwa hisa za benki ya DCB, nikanunua za tshs 50k baada ya miaka kama mitano gawio 9k,nikajua hapa kuna ujinga sana kwenye maswala ya hisa, zilipotangazwa za voda, nikakaa pembeni nacheka tu, watu wakazivamia balaa, leo wanauza kwa hasara na bado!
Hisa za voda zimenipa somo kubwa sana. Yaani 1M inakuzalishia gawio la elfu 20 kwa mwaka mzima!!!Miaka ya nyuma ziliuzwa hisa za benki ya DCB, nikanunua za tshs 50k baada ya miaka kama mitano gawio 9k,nikajua hapa kuna ujinga sana kwenye maswala ya hisa, zilipotangazwa za voda, nikakaa pembeni nacheka tu, watu wakazivamia balaa, leo wanauza kwa hasara na bado!
Mkuu sisi ni wavivu, wazembe na tusiopenda kujishughulisha!Corona iliposhamiri nikajua obvious hiyo project itakwama , nilikuwa na study mama chanja anavohangaika na soko la kuku wake na ye ni mfugaji wa small scalle.
On a serious note , sijaelewa kwa nini watanzania tunakuwa addicted kwenye kupata pesa kirahisi na tunaishia kupigwa pesa , project haikuwa tofauti na deci yet watu wa kupigwa wamepatikana .
Sent
Forex siku hizi nimesikia unaweza ukamuweka roboti akawa anakufanyia trading,hivyo kuwa na uhakika wa asilimia mia ya kutochoma akaunti yako.Mkuu ulipigwa kwenye Forex au mayai ya kwale?
Niliwahi kupigwa kijinga sana, tena nilishawishiwa na vitoto vya Chuo... kwa jeuri na kuonesha utofauti basi nikajitupia 800k.
Niliambulia 40k tu, ambayo alinigawia aliyeniingiza kama nusu ya kamisheni yake.
Nilijifunza kwa ada kubwa, sitarudia tena ujinga.
Rise Africa, maanina zao!
Umenikumbusha namaingo jamani 🤣🤣🤣🙌Itakua NAMAINGO bila shaka.Yule BI. UBWA.
😁😁😁😊😂😂😂😂
MkuuNilivyo sikia tu eti account inashikiliwa na watu wa PCCB,sijui vibari vimekamatwa..nikajua kuna watu washapingwa huko..
Rejea uwekezaji wa boda boda, sijabahatika katika watu wangu wa karibu kuona aliyefanikiwa, wengine waliwekeza moja wengine mbili, na mmoja aliwekeza boda tatu sehemu tatu tofauti, kabla ya miezi sita zilirudi zote mbovu na hajarudisha hata nusu ya hela,pmbav!Mkuu sisi ni wavivu, wazembe na tusiopenda kujishughulisha!
Ndiyo maana akitokea mtu, akasema atatufanyia kazi fulani sisi tutoe pesa tu then tutagawana faida, huwa hatuwezi kureason kabisa kwa sababu ya uvivu
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa sana mazee!Na ujue kabisa unanunua hisa kwa malengo gani?Ya muda mfupi au muda mrefu.
Maana huko duniani kuna Ma co. Kama Ya kina Warren Buffet(Mmiliki wa Coca-cola na biashara nyingine nyingi) wao sera zao ni hakuna kulipa dividends(gawio)wakipata faida kwny biashara yao hizo pesa wanazi-retain na kuzirudisha kwny biashara zao so wewe kama mwana hisa faida yako unayopata ni hiza zako kuongezeka thamani na ukitaka kuuza hisa zako utapiga pesa kwny Capital gains.
Daah sijui hata kama nimeeleweka mazee.
Umenikumbusha jambo ambalo kidogo nigombane na wife kuhusu hisa za voda baada ya Kung,ang,ania tununue hisa nikakataa. Maendeleo yake yakoje kiongozi ili nirudishie mrejesho kwa wife
Hisa za voda zimenipa somo kubwa sana. Yaani 1M inakuzalishia gawio la elfu 20 kwa mwaka mzima!!!
Utalizwa mchana kweupeKuna ishu Fulani inaitwa Nertwork makerting vipi mazee ina helaa???
Na Chakula Chake ilikuwa Vumbi Za Chaki Baada Ya Mwalimu Kutoka Tunagombania Ule Unga Pale Chini ya Ubao Tuwalishe Tausi Wetu Wazidi Kunenepa.Mkuu umenikumbusha shule ya msingi tulikuwa tunaweka nyoya la tausi katikati ya daftari tukiamini atakua ndege mzima! Kumbe zile akili kuna watu wamekua nazo!