+1Hii inakupa tafsiri kwamba shida ya watanzania wengi si mitaji, bali hofu ya kuanzisha project zao binafsi na kuzikuza, wanaishia kudandia fake projects kwa matarajio ya kulinda mitaji huku wakivuna faida
Hisa inategemea ulinunua zipi, nilinunua za ttc na breweries pesa ilirudi baada ya magawio matatu tu, nikanunua hisa za Tanzania oxygen, majanga matupu bin hasara , toka hapo nikaona biashara ya hisa Ni kichaaMiaka ya nyuma ziliuzwa hisa za benki ya DCB, nikanunua za tshs 50k baada ya miaka kama mitano gawio 9k,nikajua hapa kuna ujinga sana kwenye maswala ya hisa, zilipotangazwa za voda, nikakaa pembeni nacheka tu, watu wakazivamia balaa, leo wanauza kwa hasara na bado!
Tuongeze uelewa tununue hisa za makampuni makubwa duniani sio hizi za kibongo, pasua kichwa!Hisa inategemea ulinunua zipi, nilinunua za ttc na breweries pesa ilirudi baada ya magawio matatu tu, nikanunua hisa za Tanzania oxygen, majanga matupu bin hasara , toka hapo nikaona biashara ya hisa Ni kichaa
Sent
Rise africa...Fall Americaaa!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliwahi kupigwa kijinga sana, tena nilishawishiwa na vitoto vya Chuo... kwa jeuri na kuonesha utofauti basi nikajitupia 800k.
Niliambulia 40k tu, ambayo alinigawia aliyeniingiza kama nusu ya kamisheni yake.
Nilijifunza kwa ada kubwa, sitarudia tena ujinga.
Rise Africa, maanina zao!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aiseeee gawio 9k khaaaaaMiaka ya nyuma ziliuzwa hisa za benki ya DCB, nikanunua za tshs 50k baada ya miaka kama mitano gawio 9k,nikajua hapa kuna ujinga sana kwenye maswala ya hisa, zilipotangazwa za voda, nikakaa pembeni nacheka tu, watu wakazivamia balaa, leo wanauza kwa hasara na bado!
Nakazia🔨Umeongea utumbo!
Motivesheno spika siyo watu [emoji16][emoji16]Motivation Speaker
Karibuni Sana Kwenye Thread Ya Mafanikio
Wengi Walianza Ufugaji Wa Manyoya Mpaka Wakapata Kuku
Itakua NAMAINGO bila shaka.Yule BI. UBWA.Hapana sio Forex wala mambo ya kware, ila fursa za ufugaji na kilimo
Exactly.Hii ni 100% true.Na baada ya kulijua hilo nachukia kufanya mambo kwa: 1. influence ya watuHii inakupa tafsiri kwamba shida ya watanzania wengi si mitaji, bali hofu ya kuanzisha project zao binafsi na kuzikuza, wanaishia kudandia fake projects kwa matarajio ya kulinda mitaji huku wakivuna faida
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wajinga ndio waliwao.hela yangu niache kula bia na kuwatafuna,nikampe bwege eti aizalishe bila mimi kujua anaizalishaje na kwa mkataba upi tulio andikishiana.
Washenzi wale walinikera sana, sijafatilia tena hata hiyo hela nimewaachia![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aiseeee gawio 9k khaaaaa
Kausha mkuu Unataka tukale wapiBado fursa za watanzania kupigwa zipo na zitaendelea kuwepo mpk pale wengi watakapotambua kuwa hakuna pesa rahisi rahisi tu.
Eti mzamo nusu[emoji15][emoji15]Mi nakuja kuwapiga na fursa ya kanga moja ndembe ndebe ni sha andaa madem wakali!!Busu moja buku!!masaji 2000/=,denda 2000/=!kichwa kikiingia buku,mzamo nusu jogoo hapo hapo buku,zamisha deep hadi kwenye manyoya 2000/=!bao moja 5000/=!?WALE WAKWARE KAMA MIMI KARIBUNI!!!!MADEM NILIONAO WAKALI ILE MBAYA!!USIKU KUCHA 20000/=
[emoji2957][emoji2957]Sawa ila tunaanza na wewe mwenyewe...nazamisha kichwa tu kwa buku 50,upo tayari?
Ukisikia video yake ya mwisho mr. Kuku ni kuwa akaunti zao zote zimekuwa frozen zinachunguzwa na serikali, hivi unadhani huo uchunguzi unaisha leo? na je kuna faida tena hapo ya kurudisha gawio!?Ni mapema sana kuwambia wametapeliwa kwa maana mda wa kupewa gawio bado.
Ukisha fika tu ndo watashangaa wanakutana na mabanda ya kuku tu bila mtu
Apo ndo utaona nyuzi za Mr kuku zinaongozana umu za kutapeliwa
Hujambo binti[emoji2957][emoji2957]