Mtaalam wa kuwekeza kwenye kuku tayari ameshawaliza

Uko sahihi sana mkuu, hiyo hela ungefungua kibanda cha kuuza chipsi pengine ungekuwa mbali!
 
Sasa mbona umetutaja hapo chini? Hayo hayakua makubaliano yetu we Kama tumekupiga kaa chin utulize mkia waache na wengine tuwabutue mpunga
 
Capital Gain si ni aina fulani ya kodi? I.e kwa mfano Tanzania ukiwa na nyumba umeinunua 60,000,000 ukaja ukaiuza 150,000,000 capital gain tax kama ni 10% wanachukua 90,000,000 x 0.10 = 9,000,000 unaenda kuilipia kama capital gain
 
Capital Gain si ni aina fulani ya kodi? I.e kwa mfano Tanzania ukiwa na nyumba umeinunua 60,000,000 ukaja ukaiuza 150,000,000 capital gain tax kama ni 10% wanachukua 90,000,000 x 0.10 = 9,000,000 unaenda kuilipia kama capital gain

Hio Tsh. 9,000,000(Nine million) ndio Capital gain tax boss.

Ila Capital gain refers to PROFIT that results from a sale of a capital asset, such as stock, bond or real estate, WHERE the sale price exceeds the purchase price,kwny huo mfano wako Capital Gain ni hio 90,000,000.
 
Duh,mama angu anajuta!
Aliweka,mkombozi bank na nmb nafikiri,yamemkuta hayahaya!
Mi sitaki kabisa haya mambo!

JESUS IS LORD[emoji120]
 
ni sawa na wale wa ukileta mwenzako unapata 6m
 
Mimi mpaka unipige ujipangeee kweri kweri
Usipokuwa makini mm ndy nakupiga....
Ukikaa na kufikiria utajua Kweli umekutana
Na chuma

Ova
 
Kuna dada mmja na namjua tunamuita mchaga wa kizungu, yeye anafuga kuku wa kienyeji na kuuza
Ila kitu Kikubwa alichofanyaga ni kutafuta masoko
Ya uhakika.......
Kwa hiy Kikubwa ni kutengeneza soko tu baade unaji brand
HUWA NAWAMBIAGA WATU MARA NYINGI HAKUNA
KITU RAHISI RAHISI

ova
 
Usifananishe bitcoin na vitu vya kijinga, kwa mara ya kwanza nimezinunua satoshi chache two weeks ago na kuziuza hapo hapo nikapokea pesa yangu mpesa lengo ilikuwa tu ni shortcut ya kutoa ela skrill maana njia ya kawaida ilikuwa na matatizo nikaona bora ela niinunulie bitcoin halafu niuze kwa mnunuaji anayetoa malipo kwa mpesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…