Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kuna dada mmja na namjua tunamuita mchaga wa kizungu, yeye anafuga kuku wa kienyeji na kuuza
Ila kitu Kikubwa alichofanyaga ni kutafuta masoko
Ya uhakika.......
Kwa hiy Kikubwa ni kutengeneza soko tu baade unaji brand
HUWA NAWAMBIAGA WATU MARA NYINGI HAKUNA
KITU RAHISI RAHISI
ova
Sikatai uhalali wa hio cryptocurrency ila tu kama ulikuwa aware wakati ina trend imepiga watu sana haswa wale waliokuwa wanaambiwa weka bitcoin kadhaa utavuna kiasi fulani na Watu kama m9 hio coin mimi pia nilikuwa mfatiliaji mzuri pamoja na ethereum i know its real ila tu ilivyokuwa introduced bongo ikawa on high trend na ikaachia watu vilema, forex pia ni baishara ipo na inafanyika worldwide ila kutokana na ndugu zangu watanzania kupenda shortcut kuna wakati forex ilikuwa on high trend ikapiga sana watu nadhani uliyashuhudia hayo, Lesson Ukiona kitu kiko on high trend Jipe brake kwanza kwa kukisoma in details kabla hujaingia mzima mzima ukidhani utatoboa chap hapo sijagusa wahanga wa Netwoking market kama wa Qnet, aim global n.k wako very frustrated si kwamba izo pyramid scheme watu hawapigi mpunga lahasha ila ni kwa uchache na wale top tu huwa mostly earners the rest mnabaki kuzungusha shanga na suti zenu, good morning billionairesUsifananishe bitcoin na vitu vya kijinga, kwa mara ya kwanza nimezinunua satoshi chache two weeks ago na kuziuza hapo hapo nikapokea pesa yangu mpesa lengo ilikuwa tu ni shortcut ya kutoa ela skrill maana njia ya kawaida ilikuwa na matatizo nikaona bora ela niinunulie bitcoin halafu niuze kwa mnunuaji anayetoa malipo kwa mpesa.
Na 50k yako je???Washenzi wale walinikera sana, sijafatilia tena hata hiyo hela nimewaachia!
Tatizo kubwa watanzania wanapennda kutafuniwa hata mimi issue ya forex naijua muda nimeishoma kwenye uchumi toka zamani miaka ya 2009, ila nilivyoona iko ghafla kwenye trend nikajua kuna watu watalia maana siyo kila mtu anaweza fanya kama walivyoaminishwa kuwa ni rahisi otherwise huko mbele kila mtu angekuwa tajiriSikatai uhalali wa hio cryptocurrency ila tu kama ulikuwa aware wakati ina trend imepiga watu sana haswa wale waliokuwa wanaambiwa weka bitcoin kadhaa utavuna kiasi fulani na Watu kama m9 hio coin mimi pia nilikuwa mfatiliaji mzuri pamoja na ethereum i know its real ila tu ilivozama bongo at first time ikawa on high trend na ikaachia watu vilema, forex pia ni baishara ipo ila kutokana na ndugu zangu watanzania kupenda shortcut kuna wakati forex ilikuwa on high trend ikapiga sana watu nadhani uliyashuhudia hayo, Lesson Ukiona kitu kiko on high trend Jipe brake kwanza kwa kukisoma in details kabla hujaingia mzima mzima ukidhani utatoboa chap hapo sijagusa wahanga wa Netwoking market kama wa Qnet, aim global n.k wako very frustrated si kwamba izo pyramid scheme watu hawapigi mpunga lahasha ila ni kwa uchache na wale top tu huwa most earners the rest mnabaki kuzungusha shanga na suti zenu, good morning billionaires
Mkuuu umefikiria jambo kubwa sanaa...!! Kweli kabisaa voda ingekuwa inakopeshaa kama bank hapo sawa..Mkuu, hisa nimenunua 2017 lkn hadi leo hii sijawahi pokea gawio zaidi ya elfu 30 kwa mwaka. Hisa nilizonunua ni za shilingi milioni moja. You can imagine, kweli milioni inazalisha faida ya elfu ishirini tu kwa mwaka mzima? It means mtu aliyenunua hisa za milioni kumi aliambulia gawio la laki mbili tu! Ni ajabu sana. Gawio la kwanza nilipata kama elfu 12, gawio la pili nilipata elfu 20 hivi na gawio la tatu sikumbuki lkn ni hizo hizo za elfu 10 hadi 30 hapo.
Mimi nadhani hisa za voda zilikuwa overpriced ukilinganisha na uhalisia ndio maana profit per share imekuwa ndogo mno hadi unajiuliza hv ni kweli voda wapo Tz kwa ajili ya kuzalisha elfu 20 kwenye milioni moja kwa mwaka mzima. This is ridiculous! Au pengine voda hawakuwa na haja ya kuongeza mtaji bali walilazimishwa hivyo walikusanya mtaji ambao hawakuwa wanauhitaji na hivyo hautumiki kuzalisha faida. May be kampuni inaweza kuwa ilikuwa imefika maxmum level of growth Kwa hivyo mtaji mpya haujatumika kufanya ukuzaji wowote wa biashara, ikiwa na maana pesa imeenda pasipohitajika
Tatizo kubwa watanzania wanapennda kutafuniwa hata mimi issue ya forex naijua muda nimeishoma kwenye uchumi toka zamani miaka ya 2009, ila nilivyoona iko ghafla kwenye trend nikajua kuna watu watalia maana siyo kila mtu anaweza fanya kama walivyoaminishwa kuwa ni rahisi otherwise huko mbele kila mtu angekuwa tajiri
Wachache wanakuelewa mkuu.Na ujue kabisa unanunua hisa kwa malengo gani?Ya muda mfupi au muda mrefu.
Maana huko duniani kuna Ma co. Kama Ya kina Warren Buffet(Mmiliki wa Coca-cola na biashara nyingine nyingi) wao sera zao ni hakuna kulipa dividends(gawio)wakipata faida kwny biashara yao hizo pesa wanazi-retain na kuzirudisha kwny biashara zao so wewe kama mwana hisa faida yako unayopata ni hiza zako kuongezeka thamani na ukitaka kuuza hisa zako utapiga pesa kwny Capital gains.
Daah sijui hata kama nimeeleweka mazee.
Kuanzia mwaka 2017 ushasoma financial statements ngapi za vodacom?Mkuu, hisa nimenunua 2017 lkn hadi leo hii sijawahi pokea gawio zaidi ya elfu 30 kwa mwaka. Hisa nilizonunua ni za shilingi milioni moja. You can imagine, kweli milioni inazalisha faida ya elfu ishirini tu kwa mwaka mzima? It means mtu aliyenunua hisa za milioni kumi aliambulia gawio la laki mbili tu! Ni ajabu sana. Gawio la kwanza nilipata kama elfu 12, gawio la pili nilipata elfu 20 hivi na gawio la tatu sikumbuki lkn ni hizo hizo za elfu 10 hadi 30 hapo.
Mimi nadhani hisa za voda zilikuwa overpriced ukilinganisha na uhalisia ndio maana profit per share imekuwa ndogo mno hadi unajiuliza hv ni kweli voda wapo Tz kwa ajili ya kuzalisha elfu 20 kwenye milioni moja kwa mwaka mzima. This is ridiculous! Au pengine voda hawakuwa na haja ya kuongeza mtaji bali walilazimishwa hivyo walikusanya mtaji ambao hawakuwa wanauhitaji na hivyo hautumiki kuzalisha faida. May be kampuni inaweza kuwa ilikuwa imefika maxmum level of growth Kwa hivyo mtaji mpya haujatumika kufanya ukuzaji wowote wa biashara, ikiwa na maana pesa imeenda pasipohitajika
Niliwaachia, maana mzunguko wa kufatilia kuziuza nikaona utazidi hiyo 50k!Na 50k yako je???
I care what I get as dividend, this is what matters most to the shareholders. Issues of financial statements and balance sheet, I did not read to be honest, however you have alerted me something important not to be ignored. Thank youKuanzia mwaka 2017 ushasoma financial statements ngapi za vodacom?
Na kabla ya kuwekeza ulisoma pia hzo f/statements?
Sawa mkuu! Maana nimetaka kujiridhisha kwanza,kuna mdau anaipigia debe kweli kweli.Endelea kusikiliza tu ila usijaribu
Hahahaha ni nyoya kweli. Wengine walikuwa na lile kubwa lenye rangj rangi kama jicho katikati. Halafu unakatiwa kaunyoya kadogo unaambiwa ukafuge katakuwa kama nyoya kubwa. Halafu atageuka tausi. Sisi tulikuwa tunayalisha chumvi. Kila siku unafungua daftari kuangalia mfugo wako.Hivi ni nyoya la tausi?! Long time. Eti yale maganda ndio chakula cha tausi!
Kwa kuongezea kitu mkuu ukisoma f/statements utaona faida kamili ya kampuni ni kiasi gani na kujua kuhusu dividend policy ya kampuni husika. Kuna kampuni zinahold faida kamili as retained earnings na kutoa dividend ndogo tuu katika hiyo.I care what I get as dividend, this is what matters most to the shareholders. Issues of financial statements and balance sheet, I did not read to be honest, however you have alerted me something important not to be ignored. Thank you
TayariMr Kuku Farm au siyo! [emoji848]
Rejea uwekezaji wa boda boda, sijabahatika katika watu wangu wa karibu kuona aliyefanikiwa, wengine waliwekeza moja wengine mbili, na mmoja aliwekeza boda tatu sehemu tatu tofauti, kabla ya miezi sita zilirudi zote mbovu na hajarudisha hata nusu ya hela,pmbav!
Wewe unamkabidhi mtu boda anapomaliza mkataba???Fortunately kwa hili mimi nimefanikiwa, so far boda 4 (sikununua zote at per, faida zilisaidia kununua nyingine) zote nmemaliza salama mikataba na tukakabidhiana vizuri... mmoja alitaka kuzingua mapema nikawahi nikabeba mali yangu nikampa mwingine.