Mkuu, hisa nimenunua 2017 lkn hadi leo hii sijawahi pokea gawio zaidi ya elfu 30 kwa mwaka. Hisa nilizonunua ni za shilingi milioni moja. You can imagine, kweli milioni inazalisha faida ya elfu ishirini tu kwa mwaka mzima? It means mtu aliyenunua hisa za milioni kumi aliambulia gawio la laki mbili tu! Ni ajabu sana. Gawio la kwanza nilipata kama elfu 12, gawio la pili nilipata elfu 20 hivi na gawio la tatu sikumbuki lkn ni hizo hizo za elfu 10 hadi 30 hapo.
Mimi nadhani hisa za voda zilikuwa overpriced ukilinganisha na uhalisia ndio maana profit per share imekuwa ndogo mno hadi unajiuliza hv ni kweli voda wapo Tz kwa ajili ya kuzalisha elfu 20 kwenye milioni moja kwa mwaka mzima. This is ridiculous! Au pengine voda hawakuwa na haja ya kuongeza mtaji bali walilazimishwa hivyo walikusanya mtaji ambao hawakuwa wanauhitaji na hivyo hautumiki kuzalisha faida. May be kampuni inaweza kuwa ilikuwa imefika maxmum level of growth Kwa hivyo mtaji mpya haujatumika kufanya ukuzaji wowote wa biashara, ikiwa na maana pesa imeenda pasipohitajika