Mtaalam wa kuwekeza kwenye kuku tayari ameshawaliza

Mtaalam wa kuwekeza kwenye kuku tayari ameshawaliza

Corona iliposhamiri nikajua obvious hiyo project itakwama , nilikuwa na study mama chanja anavohangaika na soko la kuku wake na ye ni mfugaji wa small scalle.

On a serious note , sijaelewa kwa nini watanzania tunakuwa addicted kwenye kupata pesa kirahisi na tunaishia kupigwa pesa , project haikuwa tofauti na deci yet watu wa kupigwa wamepatikana .
Sent

😄😄😄 Bora umeongea ukweli....mie nashangaa Sana...jiran yangu hapa every month anatuma watoto wanatuletea bloila kuanzia 3! Namuonea huruma...ufugaji wa kuku nw ni kizungumkuti!
Basi Kuna mtu akaniambia oh tukusanye mayai vijijini tuuze mjin..nikamwambia sifanyi kazi hiyo Mimi...! Kuku fuga ule Basi!..unahangaikia na kuku faida unakuja Pata 300k?? Chaa!
 
Niliwahi kupigwa kijinga sana, tena nilishawishiwa na vitoto vya Chuo... kwa jeuri na kuonesha utofauti basi nikajitupia 800k.

Niliambulia 40k tu, ambayo alinigawia aliyeniingiza kama nusu ya kamisheni yake.

Nilijifunza kwa ada kubwa, sitarudia tena ujinga.

Rise Africa, maanina zao!
 
Kuna ishu Fulani inaitwa Nertwork makerting vipi mazee ina helaa???
Ukiambiwa kuna fursa tambua ww ndio fursa ,hapo hakuna pesa,inategemea na ulipojiunga kuna wengene waakupa dawa ukatembeze baada ya kuwekeza laki 5 yako kwao,kuna wengine unapeleka million 4 unapewa saa,au cheni nk,baada ya hapo unaambiwa umlete mtu mwingine ili upate faida zaid,
 
Miaka ya nyuma ziliuzwa hisa za benki ya DCB, nikanunua za tshs 50k baada ya miaka kama mitano gawio 9k,nikajua hapa kuna ujinga sana kwenye maswala ya hisa, zilipotangazwa za voda, nikakaa pembeni nacheka tu, watu wakazivamia balaa, leo wanauza kwa hasara na bado!
 
Next time ukiona biashara iko kwenye high trend jifikirie mara mbili mbili kabla hujazama uko vitu kama Bitcoin, 3 mzuka, Deci , mr kuku izo project huwa created watu wapigwe hela then wazilishi wanapita ivi na Senti zenu, Sehemu penye mpunga hapatangazwi ovyo ovyo
 
Back
Top Bottom