Maumivu wakati wa kukojoa ,,,maumivu makali ya kiuno,,,,maumivu ya kichwa na fluu ya mara kwa mara,,,,kutokwa na ute kama maziwa kwenye uumee,,
Hospital wamepima mkojo (u.t,i na mengine siyakumbuki) na kipimo kingine waliisema sijui biology napo hakukuonekena kitu ....masaada wako tafadhali amekata tamaa
Hospital wamepima mkojo (u.t,i na mengine siyakumbuki) na kipimo kingine waliisema sijui biology napo hakukuonekena kitu ....masaada wako tafadhali amekata tamaa