Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Niyo inawezekana. Sema haitokei sana. Mara nyingi huwa mimba inatoka lakini pia inakwenda na stage ya mimba iliyofika. Case kama hiyo inatokana mara chache sana. Ni muhimu kama mtu anatatizo hilo akwende kwa daktari wafanye ultrasound kuhakikisha mambo yako sawa.
Thanx mkuu,, sasa ikitokea hivyo je mimba hiyo itazaa mtoto au haitofanikiwa na kuharibika
 
Mimi nilikwenda kumuona daktari wangu mwezi nyuma kutokana mimi nina sinus allergy alinipa dawa moja nimesahau jina lakini nakumbuka hio dawa ina ingredients ya steroids nimeitumia kwa wiki moja na nusu kichwa,homa na makamasi yalizidi nikaamua kuwacha ndio nikarudia kutumia Cleritin ambayo huyo mchumba wangu ndio aliniambia nitumie. Baada ya siku mbili kichwa,homa na mafua yote yalikwisha ndio maana nikamwabia ajaribu hio Cleritin sikujua kama nimekosea kuingilia taalamu isiokuwa yangu.

Ni lazima kujuwa kwanini tatizo limetokea. na ya pili kila daktari anapenda dawa yake. Kwa mfano mimi nawapa wagonjwa wangu Cetirizine kuliko Claritine. Kwasababu inafanya kazi hiyo hiyo na ni bei nafuu.
 
Wanasema U.T.I ina stages na kila stage ina tiba yake.
Hebu tufafanulie tiba zake ktk kila stage especially for men wanasema inasumbua zaidi
 
Kama hiyokuwashwa inaongezeka baada ya kula chakula ya mafuta au unaihisi kifuani pia inaweza kuwa tatizo la acidity na itabidi uchukuwe vidonge vya pantoprazole 40mg kila siku kwa muda wa wiki mbili. Lakini kama kuwashwa siyo hivyo basi niandikie ikoje.
Non,hapana yaani ni some times tu,nasikia kama nawashwa kwa ndani,halafu nikikaa sana let say ofisini kuanzia asubuhi mpaka lunch time,miguu inavimba
 
Itakuwa vizuri zaidi ukieleza kuhusu Type 1 diabetes na Type 2 in genetics and if there's any proof if Type1 diabetes is indeed genetic than type 2 .
 
Ni kwanini kila ukienda H ukipima mwili piga ua lazima unaambiwa UTI,kwani huu ni ugonjwa mpya? Kwani miaka ya nyuma haukuwepo? alafu viospital sasa hivi vimekuwa ki propaganda propaganda, mimi miaka yote naishi na UTI kila nikienda kwa madaktari wa IT sugu wananitibu lakini mambo bado sasa hii UTI ni ugonjwa au ni msamiati?

Sasa sijui kama daktari wako anakuongopea au nini. Lakini kuna UTI aina nyingi na siku hizi baadhi ya vimelea vinayoleta UTI yamepata sugu na dawa ya kawaida, "Ciprofloxacin". Labda ndiyo maana unapata hii shida kila mara. Je unapata dalili gani mkuu?
 
Wanasema U.T.I ina stages na kila stage ina tiba yake.
Hebu tufafanulie tiba zake ktk kila stage especially for men wanasema inasumbua zaidi

Kwenye UTI kuna kundi mbili. UTI "complicated" na UTI "uncomplicated". Kwa ajili ya wanaume inakua complicated, yaani tunatizama kama vimelea wamefika kwenye figo pia.

Ni vizuri kwa madaktari wachukuwe sampuli ya mkojo ilikutizama vimelea wanasugu na dawa gani. Kama mtu anatatizo kwenye mirija yakukojoa, hilo ni tatizo lingine na matibabu yake nitofauti kabisa.

Matibabu ya kwanza ni dawa yakuua viemlea. Kuna dawa aina nyingi zinazotumika. Septrin na Ciprofloxacin huwa inatumika sana na ndiyo maana siku hizi vimelea vimejenga sugu juu ya dawa hizi. Kunywa maji na juisi ya cranberry huwa inasaidia kwa kiwango pia. Hii ni kwasababu maji inapunguza idadi ya vimelea. Kwa wale wagonjwa waliokuwa na tatizo hili kwa kila mara, antibiotic za sindano (Ampicillin pamoja na Gentamicin) inashauriwa.

Wagonjwa wengi siku hizi wakitumia Amoxiclav 500mg inawasaidia kwakutosha. lakini kuna antibiotic nyingi yanaoweza kutumika kwa wale waliokuwa na vimelea vyenye sugu.
 
Ndio mkuu na linanisumbua sana nilifanyiwa endoscopy muhimbili nimepewa dawa tatzo likapungua kwa muda now limerudi tena mkuu,ushauri wako mkuuw

Kaka gastroenterology ni sehemu ya mwili kama akili, moyo au macho. Lakini hujanieleza unatatizo gani ya sehemu hilo? Labda nieleze ulichoambiwa na dalili zako
 
Kwenye UTI kuna kundi mbili. UTI "complicated" na UTI "uncomplicated". Kwa ajili ya wanaume inakua complicated, yaani tunatizama kama vimelea wamefika kwenye figo pia.

Ni vizuri kwa madaktari wachukuwe sampuli ya mkojo ilikutizama vimelea wanasugu na dawa gani. Kama mtu anatatizo kwenye mirija yakukojoa, hilo ni tatizo lingine na matibabu yake nitofauti kabisa.

Matibabu ya kwanza ni dawa yakuua viemlea. Kuna dawa aina nyingi zinazotumika. Septrin na Ciprofloxacin huwa inatumika sana na ndiyo maana siku hizi vimelea vimejenga sugu juu ya dawa hizi. Kunywa maji na juisi ya cranberry huwa inasaidia kwa kiwango pia. Hii ni kwasababu maji inapunguza idadi ya vimelea. Kwa wale wagonjwa waliokuwa na tatizo hili kwa kila mara, antibiotic za sindano (Ampicillin pamoja na Gentamicin) inashauriwa.

Wagonjwa wengi siku hizi wakitumia Amoxiclav 500mg inawasaidia kwakutosha. lakini kuna antibiotic nyingi yanaoweza kutumika kwa wale waliokuwa na vimelea vyenye sugu.
Inafikia point unapima mpaka CS(culture & sensitivity ) na unapewa sindano lkn inagoma.
Hapa nadhani inakuwa hii ni complicated U.T.I, kama imefika kwenye figo hapo unatumia vipimo/ dawa gani
 
Inafikia point unapima mpaka CS(culture & sensitivity ) na unapewa sindano lkn inagoma.
Hapa nadhani inakuwa hii ni complicated U.T.I, kama imefika kwenye figo hapo unatumia vipimo/ dawa gani

Unatumia vipimo ya Culture na Sensitivity lakini kama hamna tatizo kwenye sehemu za siri, basi anapewa antibiotic za sindano ya dozi kubwa na kupewa IV fluids pia.
 
  • Thanks
Reactions: 999
Malaria, malaria, malaria. Nakumbuka tangu nikiwa secondary hadi sasa nina miaka 43 nikijitahidi sana mwezi. Kila aina ya dozi nimetumia kasoro quinine ya vidonge. Kila aina ya precaution nimechukua. Maji nakunywa mengi, chakula nakula mno. Bia ilibidi niache
Nipe tiba dk
kuna wakati huwa najaribu kuiacha, lakini maumivu huzidi naamua kunywa dawa

Ulipopima hospitalini hivi karibuni uliambiwa una malaria? Nini dalili zako?
 
Naomba unisaidie kwa mtoto asiyependa kula ,umri 1 na miez 3 , nichukue hatua gani na ipi lishe nzuri ya kumkuza

Je anatatizo au dalili lolote lingine?
Huwa kuna vitamin na madini zinasaidia.
Na maziwa ni nzuri sana huwa ina kila kitu ndani yake.
 
Back
Top Bottom