Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Unatumia vipimo ya Culture na Sensitivity lakini kama hamna tatizo kwenye sehemu za siri, basi anapewa antibiotic za sindano ya dozi kubwa na kupewa IV fluids pia.
Kama inakuwa imefika kwenye figo ni kipimo gani unapima ili kugundua sasa UTI imefika kwenye figo?
 
Kama inakuwa imefika kwenye figo ni kipimo gani unapima ili kugundua sasa UTI imefika kwenye figo?

Kama imefika kwenye figo inaitwa "Pyelonephritis." Vipimo ni ultrasound ya figo, culture ya mkojo na damu. Huwa wanatizama idadi ya white blood cell na vimelea. Wanapima pia kuona kwanini mtu kapata UTI mpaka imefika kwenye figo, kama mtu anayo kidney stones? Na matibabu ni antibiotics pia.
 
Kama imefika kwenye figo inaitwa "Pyelonephritis." Vipimo ni ultrasound ya figo, culture ya mkojo na damu. Huwa wanatizama idadi ya white blood cell na vimelea. Wanapima pia kuona kwanini mtu kapata UTI mpaka imefika kwenye figo, kama mtu anayo kidney stones? Na matibabu ni antibiotics pia.
Asante sana Doctor, hili tatizo limekuwa sugu sana enzi hizi kiasi kwamba imekuwa kama ni ugonjwa mpya sasa inafikia mahali watu hawapati mtu sahihi wa kutoa tiba sahihi kiasi kwamba inakuwa ni tatizo.
Nitarudi tena kwako baadae
 
Asante sana Doctor, hili tatizo limekuwa sugu sana enzi hizi kiasi kwamba imekuwa kama ni ugonjwa mpya sasa inafikia mahali watu hawapati mtu sahihi wa kutoa tiba sahihi kiasi kwamba inakuwa ni tatizo.
Nitarudi tena kwako baadae

Usijali. Tuko pamoja.
 
  • Thanks
Reactions: 999
Doctor nilichoma sindano ya diprofos nikavimba balaa kurudi tena hospital doctor akanipa dawa but ile dawa imenisaidia sehemu nyingine kasoro usoni nifanyeje ili huu uvimbe huku usoni utoke
 
Lakwanza mkuu, Bakteria wa H.Pylori wanakuwa tumboni na siyo kwenye damu. Unaweza kupima damu kujua kwamba wapo tumboni lakini hawakui ndani ya damu. Mbali na test hiyo, je unadalili yeyote?
Hawa bacteria doctor wanasababishwa na nn zaidi na wakikaa zaidi tumboni bila tiba madhara yake ni yap doctor
 
Kaka gastroenterology ni sehemu ya mwili kama akili, moyo au macho. Lakini hujanieleza unatatizo gani ya sehemu hilo? Labda nieleze ulichoambiwa na dalili zako
Kichefu chefu,maumivu ya tumbo,kukoa bila kutoa koozi,kukosa appetite mkuu
 
Docta natoka ute mweupe kama karatasi ukeni, nimepima UTI na fungus sina. Uchafu hautoi harufu yoyote na hutoka zaidi nikikaribia siku zangu, ni mwingi mpaka unaniudhai hadi nguo ya ndani kulowa, Yaweza kuwa nini na nitumie dawa gani?
 
Dr unapatikana wapi?! Nimekuwa namaumivu ya mbavu upande wa kulia.. Nimeshafanya vipimo Kama MRA..CTSCAN LAKINI HAWAJAONA TATIZO LOLOTE
 
Dr,nakohoa kifua kinabana sana wiki ya pili,nilienda hospitali nikapewa DOXYCYCLINE CAPSULES,DEXAMETHASONE NA MUCOLYN nimepata nafuu lakini bado nakohoa,leo ni siku ya tano tangu nianze dozi...naomba ushauri wako Dr. Usiku nalala vizuri tu ila mchana ndo nakohoa.
 
Maumivu wakati wakukojoa, kama ulivyoambiwa hospitalini unayo UTI. Dawa zake hizi hapa:

1. Amoxiclav 500mg kutwa mara mbili kwa wiki moja. (inaondoa vimelea)
2. Cital liquid kunywa kutwa mara mbili kwa wiki moja. (inapunguza maumivu kwenye mkojo)
3. Kunywa maji kwa wingi (inapunguza idadi ya vimelea.

Maumivu ya kichwa na flu. Je unayo homa pia? na ukoo inauma pia?

Maumivu makali ya kiuno inatokea saa ngapi?
Maumivu yakiuno ni wakati wote
na fluu na kichwa vinaambatana na homa na hivi vyote hutokea baada ya maumivu ya kiuno kuanza kuuma
 
Ulipopima hospitalini hivi karibuni uliambiwa una malaria? Nini dalili zako?
Ndiyo, ni juzi tu tarehe 2/7 nikapewa artequine. Leo namalizia dozi. DALILI: Mwili kuchoka, miguu (kwenye nyayo) na kifua kuwaka moto.
Hakuna kichwa kuuma, wala baridi wala joto kupanda. Magonjwa mengine kama typhoid huwa natibiwa kama kawaida na kupona hata miaka. UTI, naitibu kwa kunywa maji mengi
Kutokana na miguu na kifua kuwaka moto, nimewahi kufanyiwa kipimo cha endoscopy Bugando nikakutwa na GERD (kuna sehemu umeeleza kama aina mojawapo ya vidonda vya tumbo), nikatibiwa na kwa kiasi kikubwa nimpata nafuu. Miguu na kifua inawaka moto pale tu ninapokuwa na malaria
Karibu
 
Back
Top Bottom