Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Pole na majukumu Dr.
Umekuwa kimya sana.
Niliuliza swali hili hapo juu "Je kupishana kwa tarehe za kuingia bleed period kila mwezi linaweza kusababisha mtu asipate mimba? Na je tiba yake ni ipi?"

Nitashukuru sana nikipata majibu.

Hapana, haisababishi mtu asipate mimba. Tiba yake ni dawa za homoni. Hizo dawa siwezi kukuambia kwasababu inabidi daktari bingwa wa wanawake amuone mtu aliyokuwa na tatizo hilo. afanye vipimo kama ya ultrasound alafu amuandikie dawa.
 
@Dr Sajjad Fazel

Dr miguu inauma sana
sina balace
misuli Ina spasm ,pin and needles

diclofenac hainisaidii kabisa labda kidogo Ligaba
Je ni multiple sclerosis?
Nini dawa yake maana maumivu ni non stop
thanks

Nahisi ni peripheral neuropathy na diclofenac haiwezi kusaidia. Tumia dawa hizi mkuu alafu nipe mrejesho:

1. Nuerorubine tablet, kunywa kidonge kimoja kila siku asubuhi kwa miezi moja
2. Pregabalin 75mg tablet, kunywa kidonge kimoja kila siku usiku kwa miezi moja.
 

Ushauri mzuri ni kama upo Dar, uje Hospitali ya SANITAS iliyopo Mikocheni na umuone Daktari Hussein Bhalloo. Yeye ataweza kupa ushauri nzuri zaidi kwenye tatizo hilo kuliko mimi.
 
Doctor tunaomba msaada wa hilo swali lakupishana tarehe za blead

Hapana, haisababishi mtu asipate mimba. Tiba yake ni dawa za homoni. Hizo dawa siwezi kukuambia kwasababu inabidi daktari bingwa wa wanawake amuone mtu aliyokuwa na tatizo hilo. afanye vipimo kama ya ultrasound alafu amuandikie dawa.
 

Tumia dawa hii mkuu, inaongeza idai ya mbegu za kiume pamoja nakuongeza kasi yake
- Provirone 25mg tablets, kunywa kidonge kimoja kila siku kwa muda wa miezi moja.
 

Inabidi umuone daktari bingwa wa upasuaji akupime kwanza alafu akupe ushauri.
 

Tumia dawa hii alafu nipe mrejesho:

- Glucosamine Chondroitin, Kunywa kidonge kimoja kila siku asubuhi kwa muda wa miezi moja.
 

Ushauri wangu ni hivi:

1. Jaribu kupunguza vyakula vyenye pilipili na viungo vingi.
2. Kula mboga na matunda mengi.
3. kunywa maji yakutosha.
4. Pakaa dawa hii kutwa mara mbili kwenye eneo inayowasha: Anusol Ointment
 
Dr. Sajjad nakushukuru sana na ubarikiwe sana kabisa.
 
Doctor naomba msaada kuhusu dawa hii "GYNEXIN" kama unaifahamu na inatibu nini na inapatikana wapi?
 
Ushauri wangu:

1. Rabeprazole 20mg, Kunywa kidonge kimoja kila siku asubuhi kwa muda wa miezi moja.
2. Punguza kula pilipili na vyakula vyenye pilipili au viungo vingi (spices).
asante kwa ushauri dr
ila naomba pia kuuliza je kunywa juice ya vtu vchahu kama vle ukwaju haina madhara kwa mimi ninaesumbuliwa na acid?
 
asante kwa ushauri dr
ila naomba pia kuuliza je kunywa juice ya vtu vchahu kama vle ukwaju haina madhara kwa mimi ninaesumbuliwa na acid?
ila niliwahi kupewa dawa inatwa omeprazole je hy ni tofauti na hii rebeprazole? ki matumiz?
 
ila niliwahi kupewa dawa inatwa omeprazole je hy ni tofauti na hii rebeprazole? ki matumiz?

Ni bora kupunguza juisi kama hizo. Rabeprazole inafanya kazi vizuri zaidi. Hakikisha unazingatia ulaji bora kama nilivyokueleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…