Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 428
- Thread starter
- #801
Pole na majukumu Dr.
Umekuwa kimya sana.
Niliuliza swali hili hapo juu "Je kupishana kwa tarehe za kuingia bleed period kila mwezi linaweza kusababisha mtu asipate mimba? Na je tiba yake ni ipi?"
Nitashukuru sana nikipata majibu.
Hapana, haisababishi mtu asipate mimba. Tiba yake ni dawa za homoni. Hizo dawa siwezi kukuambia kwasababu inabidi daktari bingwa wa wanawake amuone mtu aliyokuwa na tatizo hilo. afanye vipimo kama ya ultrasound alafu amuandikie dawa.