Dokta nina tatzo la vipele chini ya macho yote mawili na nimezunguka hospitali nyingi sijapata uchunguzi na kuna hospitali nilienda dokta wa ngozi akaniambia ugonjwa wangu hauna dawa naomba msaada wako
Ni kweli ,ni ngumu kutibika hiyo kwa kutumia hizi cream AU lotions .
Ulichoambiwa ni sahihi,unachotakiwa kufanya ni usipake cosmetics nzito usoni au cream ,usoni tafuta mafuta ya olives (hayatoondoa tatizo lakini yatasaidia kwa mbali ku mask na kufanya ngozi yako kuwa more soft) au ukikosa kabisa tumia mafuta ya nazi yale ya kutengeneza mwenyewe .
The more unavyotumia cosmetics na cream usoni ndiyo the more una increase tatizo ,sababu cream nyingi wanatumia corticosteroids ambazo zina sifa ya kuchubua au kuunguza ngozi ,ndiyo maana sometimes unakuta hata wale wenye kutumia cream za dawa kama ni usoni basi ngozi utaona kama inakua nyekundu hivi ile sehemu ambayo ume apply hiyo cream .
Hilo tatizo lako mara nyingi huwa ni la muda mrefu ,wengine huwapata kwa kutumia cosmetics fulani ambayo inasababisha allergy na ngozi yake then inaanza kutengeneza hivo vipele taratibu ,then vinakua hivyo.Wengine Mazingira akibadili hasa akitoka sehem za joto kwenda sehem za baridi,wengine hawajui why wamepata hiyo vipele,wengine wanapata uzeeni but kuji expose sana kwenye jua plus fake cosmetics huwa ni sababu moja wapo .
Any honest dermatologist will tell you the truth ,you can't treat hivyo vipele kwa kutumia vidonge au cream .kuna watu wana vikubwa zaidi ya hivyo .
But kuna hii treatment sijui kama bongo ipo,inaitwa Laser Therapy ,hiyo ndiyo the only way unaweza kuviondoa,wanatumia mionzi kuviondoa .
Otherwise,Make sure jua halikuchomi sana,ikiwezekana tumia miwani ukiwa sehem za jua kali,tumia mafuta ya olives au ya nazi kupaka usoni ,usi apply any cream or lotion kwenye usoni.Mafuta ya olives will make your facial skin much better .
All The Best.