Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili napata maumivu ya tumbo,kichwa,nakohoa lakini sitoi kohozi,kuharisha na muda mwingi napata choo kigumu na ivi karibuni kiuno na sehem ya mgongoni kunawaka moto na napata maumivu kifuani na tumbo kujaa gesi mkuu
Je kuna dawa yoyote inayoweza kuondoa kabisa uvimbe/henial (incision abdomial henial) tofauti nakufanya operation?
nnina tatizo la fizi kuvimba na kuuma na kutoa damu pale ninapopiga mswaki, nini sababu yake(cause) na dawa (cure) ni ipi daktari?
Mkuu, wamefikaje huko? Pole sana.Dawa ya fangasi wa sehemu za siri walioingia mdomoni au kwenye ulimi na kuleta hali kama mtu aliyeungua uji au chai kwenye ulimi lakini hakuna maumivu hata kidogo.
Ule mchezo unahitaji usafi na umakini wa hali ya juu sana, huku kumruhusu dem alambe dudu yako halafu unachomeka kwa papuchi yake then anamalizia kukunyonya ulimi unapompa mautam ni hatari sana kwani wadudu wananata kwenye dudu na kuingia mdomoni mwa dem anaponyonya dudu na kisha kuingia mdomon mwako pia pind mnyonyanapo ndimi.Mkuu, wamefikaje huko? Pole sana.
Sawa mkuu, nilidhani ni kale kamtindo ka kulamba chumvi unako!Ule mchezo unahitaji usafi na umakini wa hali ya juu sana, huku kumruhusu dem alambe dudu yako halafu unachomeka kwa papuchi yake then anamalizia kukunyonya ulimi unapompa mautam ni hatari sana kwani wadudu wananata kwenye dudu na kuingia mdomoni mwa dem anaponyonya dudu na kisha kuingia mdomon mwako pia pind mnyonyanapo ndimi.
HapanaSawa mkuu, nilidhani ni kale kamtindo ka kulamba chumvi unako!
tatizo la kutokwa na vipele kichwan vinatoa kama usaha ni dalili ya nn?na tiba yake mkuu vp
Asante doctorSawa. Unaonyesha unatatizo la acidity pamoja Na infection ya tumbo. Chukua Dawa Hizi:
1. Pantoprazole 40mg kidonge kimoja kila siku asubuhi kwa muda wa miezi moja.
2. Norzole kidonge kimoja kila siku asubuhi kwa muda wa siku saba.
Asante
Dr mi ninatatizo external Hemorrhoids kuna kinyama kimeota pembeni ya haja kubwa na nimetumia dawa mbalimbali za mitishamba, kizungu na za kichina. Hali inatulia baada ya mwezi maumivu yanaendelea napata maumivu makali wakati wa haja kubwa takribani kila mwezi hali inajirudia nomba ushauri wako DR. Dawa gani yaweza nisaidia hili tatizo?
Tatzo la mwanamke kutokwa na damu baada ya tendo la ndoa bila maumivu kwa muda mpka wa siku nne tatzo ni nn? kwa muda wa miezi takriban sita sasa.
Nina mtoto wa miezi sita ana vipele vinavyowasha mgongoni na kwenye shingo nini tiba