Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 428
- Thread starter
- #921
Aaaaaah jibuu zuri mkuuu
Unawatania watu wanayohitaji msaada. Siyo vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaaaah jibuu zuri mkuuu
Amekimbia haleti majibu
Msaada na ushari kwa mtu anayesumbuliwa na Figo pamoja na kuvimba tumbo mara kwa mara. Nini anatakiwa afanye?
dr ninashida kubwa ila hupokei pm
Dr please nisaidie: nina tatizo la sehem ya mwili kuwa ngumu (SUGU) mfano kwenye unyayo wa mguu na kidole kidogo cha mguu kwa juu sielew hili tatizo linatokana na nini na tiba yake ikoje DR NAOMBA UNIJIBU MIMI HUKUNIJIBU PLEASE
Nimejaribu pm yako haitumi kabisa
Msaada na ushari kwa mtu anayesumbuliwa na Figo pamoja na kuvimba tumbo mara kwa mara. Nini anatakiwa afanye?
DR NAPENDA KUTHIBITISHA
JE, NI KWELI KWAMBA KWA MTU AMBAE HAJAZAA MDADA MAZOEZI YA TUMBO C MAZURI?
dr.mbona tunashauriwa kutoingiza chochote sikioni na ni vema kwenda kusafishwa hospitali je hii imekaaje ajisafishaje?
Dokta msaada!! Nasumbuliwa na matatizo ya mguu hasa wa kushoto unakua kama unawaka moto au kama nyama za ndani zinajikata kata
Nashukuru sanaTumia dawa hii alafu nipe mrejesho:
- Neurobione forte, Kunywa kidonge kimoja kila siku kwa muda wa miezi moja.
Nataka dawa yakupunguza kitambi
Naulizia dawa nzuri ya m'ba.
Ok, doctor habari! Mimi nauliza dawa ya fangasi ya miguu inapatikana wapi na matumizi yake yakoje, inatibu au inapunguza tatizo tu
Asante sana Doctor kwa maelezo mazuri kuhusu dawa ya fangasi na nitalifanyia kazi mara moja.Habari Mkuu,
Dawa ya fangasi inapatikana duka la dawa na ndiyo inatibu kabisa.
Cha muhimu nikuelewa kama fangasi wanapenda kuota kwenye nafasi yenye joto na unyevunyevu.
Hakikisha kwanza unaosha miguu yako Na sabuni alafu kuisuza Na maji Na baada hapo kuipangusa Na kukausha na kitambaa au taulo.
Alafu atumie dawa hii:
- Terbinafine Tablets, Kunywa kidonge kimoja kila siku kwa muda wa miezi moja.
- Terbinafine Cream, Pakaa dawa hii Kutwa mara mbili asubuhi Na usiku.