- Thread starter
- #41
anza kunywa mkuu ili homoni zako ziwe za kike kama dada zako na utapendeza mno sawa?Sinywi pombe ila haya ni maneno tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anza kunywa mkuu ili homoni zako ziwe za kike kama dada zako na utapendeza mno sawa?Sinywi pombe ila haya ni maneno tu
na homoni zao za kikeWalevi oyeee!!
Mmeuthibitishaje?Nimemuona Times FM huyo mtaalamu , na huo ndo ukweli.
Sijasema mimi bali amesema mtaalam aliyenukuliwa na mtandao wa ommy msafi news hivyo nendeni huko mkaisikilize clip yake
Kitu pekee ninachofurahi cognizant mimi ni kwamba sinywi bia na haitotokea nikaja kunywa bia.
Akhsante mtaalam kwa ukweli wako
View attachment 2875102
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeKwa kuwa yeye amezoea kunywa Makonyagi basi anajikuta yeye ni kidume haswa..
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeMmeuthibitishaje?
Sawasawa.Kanywe na wewe bia kama ni rahisi.Si kila mtu ana hela za kupiga bia.Bia ni hela.Msio na hela mnasaka uhalali wenu kuficha ukapuku.Mnywe hata gongo.hongera mkuu kwa kuwa na homoni nyingi za kike wakati wewe ni mwanaume
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeLoh 😂😂😂
Ninakunywa sana Heineken mbona Nina watoto watatu wa kiume?
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeSawasawa.Kanywe na wewe bia kama ni rahisi.Si kila mtu ana hela za kupiga bia.Bia ni hela.Msio na hela mnasaka uhalali wenu kuficha ukapuku.Mnywe hata gongo.
Una homoni za kike bro. KumbeeeeeAmeongea bila kutoa ushahidi/uthibitisho.Anaongea sentensi moja kwa kuirudiarudia na kulazimisha bila maelezo ya msingi.Tapeli tu huyo na hana hela ya bia.Apeche alolo!
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
Alone MoisemusajiografiiKwanini MASHOGA wengi wanakunywa pombe? Huyu doctor yupo sahihi kabisaa!!! Wanywa pombe wengi wanajiangusha makusudi na kujifanya wamezidiwa na kilevi kumbe wapo kwenye kazi zao za kishoga
Acha ukasuku wa kubugia maneno yote uyasikiayo.Unaonesha ulivyo lainilaini kifikra.Tafuta ushahidi kamili ndiyo ulete mjadala.Na si kuburuza vitu kutoka mitandao mingine na kuibwaga JF ijihangaikie.@Moderatorpole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
wewe huoni anavyolalamika kila mara tu katika huu uzi kama mtoto wa kike? tayari bia anazokunywa zimeshabadili homoni zake kutoka za kiume na sasa ni za kikeUna homoni za kike bro. Kumbeeeee
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeAcha ukasuku wa kubugia maneno yote uyasikiayo.Unaonesha ulivyo lainilaini kifikra.Tafuta ushahidi kamili ndiyo ulete mjadala.Na si kuburuza vitu kutoka mitandao mingine na kuibwaga JF ijihangaikie.@Moderator
Naona bado una wenge la asubuhi mbona hujanijibu na unaniambia Nina hormone za kike as if umeshawahi kunifanyia vipimo?pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeNingekuwa karibu yake ningemtemea makohozi.Kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu,eti mtaalamu.