Mtaalamu: Wanaume wanaokunywa bia wana homoni nyingi za kike

Mtaalamu: Wanaume wanaokunywa bia wana homoni nyingi za kike

Naona bado una wenge la asubuhi mbona hujanijibu na unaniambia Nina hormone za kike as if umeshawahi kunifanyia vipimo?
Acha kukurupuka na kama wewe ni Ke ni DM nikutafute ili ujue kama Nina hormone za kike au za kiume.
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
 
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
DM halafu toa location ili ujue kama Nina hormone za kike sio una reply post kwa mtindo wa ku copy na kupaste. PM yangu ipo wazi njoo DM unipe location
 
Naona tulishakaa meza moja tukanywa
yaani nikae na mwenye homoni nyingi za kike kama wewe? na kama nilikaa nawe basi labda nilikuwa nataka kukuomba ili homoni zangu za kiume ziziburudishe kibaiolojia homoni zako nyingi hizo za kike
 
Inaonekana unapenda sana umbea na hizo ni chembe chembe za homoni za wamama wa Vicoba.
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
 
DM halafu toa location ili ujue kama Nina hormone za kike sio una reply post kwa mtindo wa ku copy na kupaste. PM yangu ipo wazi njoo DM unipe location
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
 
Siku hizi kumeibuka Wataalamu wanaokuja na tafiti za uongo, na kutengeneza hofu kwa wananchi wengi lakini Serikali ipo kimya. Hawa watu hawafai hata kidogo.

Kuna mwingine atakuja kutuambia hata kutembea kilomita 5-10 kuna madhara.[emoji23][emoji23]

Tafiti za bila ushahidi ni sawa na makanisa ya akina Mwamposa.
 
Siku hizi kumeibuka Wataalamu wanaokuja na tafiti za uongo, na kutengeneza hofu kwa wananchi wengi lakini Serikali ipo kimya. Hawa watu hawafai hata kidogo.

Kuna mwingine atakuja kutuambia hata kutembea kilomita 5-10 kuna madhara.[emoji23][emoji23]

Tafiti za bila ushahidi ni sawa na makanisa ya akina Mwamposa.
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
 
Back
Top Bottom