Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Haya mambo ya hormonal imbalance ni nadra sana kutokea.....ni vle tu siku hz media zimelaitiwa na wafanyabiashara ko wana uhuru wa kusema chochote hata kama sio kwelpole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
Ukweli kwa ushahidi upi?KWAMBA:-
-Mtu akiwa na homoni nyingi za kike ndiye anakunywa sana/zaidi bia? AU
-Mtu akinywa sana bia ndiyo hupata homoni nyingi za kike?Atoe maelezo yenye ushahidi anuai.
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeDuuh hii nchi imejaa propaganda sana,
Hapana uwe na homoni za kiume kama mimi, maana hizo za kike unazo za kutoshakisha niwe na homoni za kike kama wewe?
Situmiagi pombe mkuu.pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
Sawa Kilaza mwenzangu [emoji23][emoji23][emoji23]Acha blah blah, huna credibility ya kumpinga Dr wewe Kilaza.
Ni kweli kabisa mkuu. Tunaambiwa tuwaamini kwa vile ni wataalamu, bila hata kuona hizo tafiti zimechukua mda gani.Hili jambo linaanza kuvuka mipaka kutoka kwenye changamoto na kuelekea kuwa tatizo sugu.Anakurupuka mtu akiwa na sandarusi lake kutoka kuokota chupa za plastiki(sidhani kama dunia kuna chupa za plastiki)anaanza kubwatuka neno lolote lilio karibu na magego yake.Na cha ajabu,anaungwa mkono kipuuzi tu.
unabishana na mtaalamu? wewe ni mtaalamu?
Ni kweli mkuu, ila hawatakuelewa kwa hoja yako.Haya mambo ya hormonal imbalance ni nadra sana kutokea.....ni vle tu siku hz media zimelaitiwa na wafanyabiashara ko wana uhuru wa kusema chochote hata kama sio kwel
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeNakushauri kwa wema tu.Usirudierudie sentensi moja kila wakati.Najua lengo lako ni kuudhi watu na kukera tu ili ufurahishe nafsi yako na za wanaokusapoti.Umeleta hoja huko ulipoitoa,sawa.Sasa,na wewe ijengee wigo isikuponyoke kwa udhaifu wa kutokuwa na ukweli wala uhakika wowote.Tutaiharibu JF kwa mahovyohovyo kama hayo.Badilika na uuache ushabiki wa mahovyohovyo.
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeHuyu Dr muongo sana. Kwa hiyo wanawake wanaokunywa pombe wana hormones za kiume. Angesema kwamba wanaokunywa pombe wanasababisha kuwa na hormone za kike labda ningefikiria kwa undani. Lakini siyo kwa shortcut evaluation kama hizi.
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeHaya mambo ya hormonal imbalance ni nadra sana kutokea.....ni vle tu siku hz media zimelaitiwa na wafanyabiashara ko wana uhuru wa kusema chochote hata kama sio kwel
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeSijui kwa nini watu wasiokunywa pombe wanamaneno mengi kuhusu pombe , mbona sie wanywaji wale hatuna mda na juice zenu[emoji848]
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeudaktari wa kupewa uo..