Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Hatupotezi muda, moja ya furaha yetu ni kulitaja vibaya kila tunapokumbuka ushenzi wake.
Ht misikitini/makanisani kumtaja na kumlaani shetani ni kawaida sana
Hii haiondoi ukweli wake kwamba, aliwakataa walamba asali na majizi kama nyinyi
 
Fact;
Tar. 9/12/1961 tulipata uhuru toka kwa mtu wapinki/zungu
Tar. 17/3/2021 tulipata uhuru toka Kwa mtu mweusi/afrika
  • Ambapo wote walitesa,walipiga,walituibia,walitunyima haki,walitutisha,walitunyima uhuru wakuongea,walibagua kikabila,walipendelea kwake,walitumia Dola kukandamiza walompinga nk.
  • Wote pia walijenga mareli,mashule,barabara,vyanzo vya umeme nk.
 
Wajinga wanaamini hiki, Endelea kuamini hiki hiki mkuu, hakuna atakayekushikia bunduki kukulazimisha kile unaamini
 
Huyo kichaa anaungua na moto hata Yesu Kristu atakapojuja tena kuhukumu wazima na wafu Magufuli hawezi kufufuka sawa na akina Hitler, Mobutu na Iddi Amini.

Usipoteze muda wako kuabudu kitu Mungu wetu alichokifuta. Magufuli angekuwapo tungekuwa na hali mbaya kuliko Yemen kwa sababu alikuwa hatumii akili
 
Hatupotezi muda, moja ya furaha yetu ni kulitaja vibaya kila tunapokumbuka ushenzi wake.
Ht misikitini/makanisani kumtaja na kumlaani shetani ni kawaida sana
""Na Iwe Kama Ulivyonena""Ukweli utaendelea kubaki moyoni mwako,,,Mwamba hachafuliki!!
 
Ubarikiwe Kwa kuwaamsha popo
 
Hii haiondoi ukweli wake kwamba, aliwakataa walamba asali na majizi kama nyinyi
Alitukataa!?
Kiko wapi sasa.
Kafa na roho mbaya yake katuachia asali yetu twala kwa raha zetu huku tukiling'ong'a shetani lile na wafuasi wake waabudia kaburi
 
Yani hii nchi ina vijana wa hovyo kabisa yani watu wanakaa wanawaza kuandika mabaya tu ya marehemu kweli.wanaongozwa na mtumishi wa mungu kweli hio ni akili ya kimatope.ukitafakari wao wamefanya nini kuanzia kwenye familia zao huko na majumbani mwao wamefanya nini.
 
Alitukataa!?
Kiko wapi sasa.
Kafa na roho mbaya yake katuachia asali yetu twala kwa raha zetu huku tukiling'ong'a shetani lile na wafuasi wake waabudia kaburi
Suala la kufa ndo unalisherehekea?

Sawa mkuu!
 
Usiingilie uhuru wa watu. Hata wewe na genge lenu mpo huru kuandika yale mnayoona mazuri.
Hamna cha kutufanya, Msiba mwenyewe kaufyata, nn wewe
 
Hachafuki mara mbili.
All in all ni furaha iso kifani kuendelea na maisha yetu bila ya yule shetani muovu
Bahati mbaya kabisa huna unachoweza kuelezea kwa nini upo mpaka sasa!
 
Waswahili Wana Maneno Sana Ila Kwa Hili

LIPO WAZI R.I.P MWAMBA WA AFRICA JOHN JOSEPH POMBE MAGUFURI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…