Samia amefanya kazi kubwa kurudisha uhusiano wetu na nchi nyingi duniani ikiwemo Kenya.Alivunja uhusiano na nchi ipi? Ukiambiwa utoe mifano utaanza matusi.
Kipindi cha jpm ndiyo World bank iliitaja tanzania kufikia uchumi wa kati, wewe unazungumzia uhusiano upi? Hakuna mradi wa EU uliositishwa wala kupunguziwa pesa. Sana sana kwa akili yako ndogo utasema "vifaranga vilichomwa moto"
Mwamba wa wajinga.Waswahili Wana Maneno Sana Ila Kwa Hili
LIPO WAZI R.I.P MWAMBA WA AFRICA JOHN JOSEPH POMBE MAGUFURI.
CCM hawakutaka kabisa kusikia katiba mpya... Lakini katiba inazungumzwa na CCM wenyewe kwa sasa baada ya mtu mmoja kujimilikisha nchi yote kwa maamuzi yake mwenyewe..Kuanza kwa mchakato wa Katiba mpya ni sababu haswa ya JPM.
Juzi nimepita pale Buzirayombo nikaona jinsi ule mnada wa Kimataifa ulivyobakia kuwa jumba la makazi ya popo.
R.I.P MWAMBA JPM UTAKUMBUKWA DAIMAMwamba wa wajinga.
Kwa maovu.R.I.P MWAMBA JPM UTAKUMBUKWA DAIMA
R.I.P MWAMBA JOHN JOSEPH POMBE MAGUFURI kwa nch hi anahitajika mtu zaid yako.Kwa maovu.
Tangu lini mwamba apendwe na mafisadi? Wafoji vyeti? Wezi na wauza dawa? Wazembe! Hii haiwezi kutokea kamwe! Hata wewe utakuwa mpumbavu ukimkubali jambazi weweMwamba wa wajinga.
Nchi tunachechemea kutokana na uongozi mbovu wa JPM. Mungu atuepushe na watu wa aina yake.R.I.P MWAMBA JOHN JOSEPH POMBE MAGUFURI kwa nch hi anahitajika mtu zaid yako.
Unachechemeaje?Nchi tunachechemea kutokana na uongozi mbovu wa JPM. Mungu atuepushe na watu wa aina yake.
Alitumia fedha hovyo hovyo kwenye miradi inayoleta hasara kila kukicha kama vile mradi wa ATCL tunapata hasara ya mabilioni kila siku.Unachechemeaje?
Kuruhusu bajeti yote ikombwe na nyinyi mafisadi?
Wewe ni mjinga kuzidi wajinga?Alitumia fedha hovyo hovyo kwenye miradi inayoleta hasara kila kukicha kama vile mradi wa ATCL tunapata hasara ya mabilioni kila siku.
Hiyo ATCL haikuwepo kipindi Chake?Alitumia fedha hovyo hovyo kwenye miradi inayoleta hasara kila kukicha kama vile mradi wa ATCL tunapata hasara ya mabilioni kila siku.
Umeandika hivi "Nimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaake"Nimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaa
Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake
Ni Magufuli pekee aliyeipandisha hadhi nchi yetu, ni yeye pekee aliyeibua miradi kedekede na isiyohesabika, miradi ya kimkakati na kuileta nchi katika uchumi wa kati mdogo! Hivi utamdanganya nani?
Ni Magufuli pekee aliyekuwa na huruma ya dhati kwa wananchi wote hasa wa chini, aliwajali na kutatua kero zao bila kuogopa wenye ukali
Ni serikali yake tu, iliyotaka kuondoa tabaka la walionacho na wasiokuwa nacho,
Wanatufanya kwamba wote tulikuwa chekechea siyo?
Halafu wasomi uchwala hao waliondika daftari Lao hilo, wote wako nje ya nchi na hawataki kurudi,
Hata hivyo, kwa nini wanaitumia nguvu nyingi kiasi hiko? Na ukichunguza zaidi, unagundua tu kwamba, miongoni mwa walioshiriki ni pamoja na waliotemwa kwenye nafasi za uteuliwa utawala wa Magufuli
Hata hivyo, mbona bado ni walewale vilaza na mafisadi?
Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi
Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.
Mantiki yao ni ipi haswa!
Hata iweje, waandike vitabu na vitabu, nyinyi wasomi uchea, tunachukua nafasi hii kuwakumbusha sisi wamachinga, wafanya biashara, wamama ntilie, wananchi wa kawaida, tunawakumbusha tu kwamba, Magufuli hawezi kuchafuliwa na yeyote kwa njia yoyote ile!
Tutaendelea kuguswa na yale ametufanyia kama nchi na wananchi!
Magufuli! Lala salama!
Kuna wajinga wachache wanadhani eti ni rahisi tusahau mema uliyotuachia!
Tunazungumzia hasara za ATCL tangu akiwepo na alifanya juhudi kubwa sana kumzuia CAG aliyekuwepo asitoe taarifa za kweli na hata kumfuta kazi kinyemela! JPM ameirudisha nchi nyuma kwa mambo mengi ila wajinga hawataweza kuelewa hilo.Wewe ni mjinga kuzidi wajinga?
Hasara ya kila siku na serikali ipo? Labuda nikuulize, ni shirika lipi kwa sasa linaleta faida ambalo mmelianzisha wenyewe?
Kwa nini mnaiba bajeti nzima ya serikali?
Ndicho mlikuwa mmekikosa?
Hasara zilianzia kwa JPM. Mradi mzima ni upigaji mkubwa na unamhusisha yeye mwenyewe kupitia chawa wake akina Dotto James na wengine.H
Hiyo ATCL haikuwepo kipindi Chake?
Umeshiba na huna gonjwa wala changamoto au unaishi kwa shemejiNi furaha iliyoje mwovu anapotupwa kwenye ziwa la moto kama hiviView attachment 2588153
Furaha yenu wewe na nani?Furaha yetu kubwa ni kwamba lile shetani lenu la Chattle lilishakufilia zake mbali.
Nyie mteteeni muwezavyo hamtoondoa furaha yetu hiyo kuu.
Sasa hv tuna uwezo wa kuliandika tupendavyo kwa uhuru na kwa raha zetu wenyewe.
Mkiona inauma sana mkazikwe naye
Mbona ccm inakubaka kila siku na mungu wako haoneshi ufundi wake?Mungu wetu ni fundi sana kulitowesha lile subiani kwenye uso wa dunia,wacha lichomwe moto huko jehanam iwe fundisho kwa wapuuzi wengine wenye akili chafu kama alivyokuwa