Corona ipo Tena Sana usijiongopee kinachotokea Ni baadhi ya watu kuwa imara na Kinga but kwingine Hali Ni mbaya sanaTanzania kila kitu hewa, Corona hewa, wafanyakazi hewa, wanafunzi hewa,
Corona imebakia jina Tu Tanzania, Huku kwetu kila ninayekutana naye, anaulizia tu, hivi wamefika wangapi? Sasa endapo kila mtu atakuwa anauliza wamefika wangapi, unagundua kabisa hii Corona haipo, kama ingelikuwepo, basi hata hao wanaouliza watu kufika wangapi wangekuwa nao wanaugulia!
Corona hewa
Corona ipo Tena Sana kinachotokea hapo Ni Kinga au Zamu yenu BadoMtaani kwetu hata sijawahi kusikia dalili za corona
Afadhali Mana ulikuwa kabishiiiii[emoji3]Umeongea vema Sana mkuu,
Kwa namna hii nakubali ipo
We acha tu Elimu bado Sana hivi tangu lini walisikia kudondoka kwa watu Kama hivi? Ni zamu tu bado .Ingekuwa haipo Basi vyuo na shule zingefunguliwaHivi huwa inaonekana kwa macho eeh?
Kuna watu wanaleta masihara sanaMimi wamekufa ndugu na jamaa 5 ,nina watu kama 4 bado wanaumwa.Mimi niko sector ya afya na hao watu 50 percent niwafanyakazi wa hospitali
We acha tu mpaka hurumakwahiyo wale 16 walikufa kwa njaa au nyege,punguzeni mihemko kwenye mazungumzo[emoji41][emoji41][emoji41]
Bia Yetu mke wangu nilishakwambia uache mihemko,, yule jirani yetu pale ile nyumba nyeupe si amekufa kwa Corona yule, sasa unadanganya kwa faida ya nani?Hao Chadema wanapenda watu wafe Mkuu ili wapate cha kuwadekea Mabeberu
Acha kupotosha watu wewe.Huenda Ni kweli huko kitaani hakuna balli Wapo wenye virusi hata Us inayoongoza Kuna sehemu kupo shwari Ila kuba sehemu kumelipuka Kama unabisha tembelea Makaburi usiku .Then Rudi hapa kusema au ulizia wauza vitu kuzunguka Makaburi watakwambiaMkuu, Corona ipo yamkini, Mimi nimezungumzia huku kwetu, sjaona na nimesema nistake kuona kabisa Kwa sababu jinsi ninavyoona huko Kwa wenzetu, inatisha na pengine hata hapa hizi ID zetu nyingine zingekuwa hazichangii chochote hapa, sababu watu wenye ID hizo wangekuwa washakufa ama wako ICU
Wewe mwenyewe chunguza Tu hapa utajionea mwenyewe, Karibu ID zote ziko hai, Je kuna Corona kweli?
Mimi sikatai kuwa haipo, Ila huenda Corona ya Tanzania inatofauti na Corona za huko
Mkuu, naamini Corona ipo, Ila huenda Corona ya Tanzania ikawa haina nguvu kama huko tunakokuona kwenye luninga na mitandaoni,
Kweli kabisa pia jiulize wangapi Wana Ukimwi mtaani wote wamekufa au anawajua? Kuwa na ugonjwa haimaanishi unakufa au vp.Au utawajua Corona ipo na watu wanakufa.ni suala la Kinga imara.Ukiwa na kinga dhaifu corona inakubeba mzimamzima Mana ndani yako Hauna KingaWhether iko mtaani kwetu au la sio issue ,issue ni kujikinga na ugonjwa unaweza ikawa wewe ukawa chanzo cha kuleta mtaani.Mtaani kwenu inawezekana mna population ya watu 2000 na kwa sasa kama maambukizi Dar ni watu 120 kwenye population ya 6m ya wana Dar ni kidogo ila kwa sababu hatufanyi mass testing kuna watu wana maambukizi ila hawaumwi na wengine hawataonyesha dalili hata kidogo
ni watu wengi hawana idadi, nahisi wewe haupo tz sio bure
siku hizi mNazika tummezika wenye corona ama wamezika city
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Themistocles,
Kuanzia mtaani kwangu,Kazini tupo zaidi ya 450 hamna hata mmoja niliyesikia ana Corona.
Ila watu wapo HOI MIFUKONI.
Mtaani kwangu kuna Bar, ina jaza wanywaji, wanalewa na hawana hata chembe ya tahadhari. Utaona hapo nje wasichana wanaouza pombe wanavyosogeleana na walevi kana kwamba corona ina Dawa vile !!!Mtaa unaoishi halo ilivyo ipoje? Mtaani kwetu unaweza kujua hakuna ugonjwa huu kabisa.