flowerss
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 640
- 591
Corona ipo Tena Sana usijiongopee kinachotokea Ni baadhi ya watu kuwa imara na Kinga but kwingine Hali Ni mbaya sanaTanzania kila kitu hewa, Corona hewa, wafanyakazi hewa, wanafunzi hewa,
Corona imebakia jina Tu Tanzania, Huku kwetu kila ninayekutana naye, anaulizia tu, hivi wamefika wangapi? Sasa endapo kila mtu atakuwa anauliza wamefika wangapi, unagundua kabisa hii Corona haipo, kama ingelikuwepo, basi hata hao wanaouliza watu kufika wangapi wangekuwa nao wanaugulia!
Corona hewa
Sent using Jamii Forums mobile app