Kwa faida ipi babe..??Mmh babe 97 ulikuwa unajua kusoma au ndio unanichuuza niamini wewe sio kaserengeti
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya acha nikuaminiKwa faida ipi babe..??
Hapo nilikua around class 3/4
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Soon mkuu,
Have a little faith nawe utaponywa bebe..
Sawa babyHave a little faith nawe utaponywa bebe..
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Lugha mama yangu ni Kiswahili kwa hiyo sina qualification ya Uarabu. Binafsi nnaamini Uarabu ni lugha, siyo rangi, siyo kabila, siyo dini, siyo taifa, siyo bara (kontinenti).Mama yetu Faiza ni Muarabu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Da'Vinci
-huyu kija anamiaka 20-21 mpole hapendi shobo genius mkimya sana anaibu machoni pawatu sio MTU, wakujichanyanya, (starehe)
-kazi--bado hustle elimu yake form(4)
-mchamungu, anapenda kujifuza (mdadisi wa mambo) single wawakati wore [emoji23]joke n.k
Da'Vinci embu thibitisha
- Mshana Jr huyu age yake 45-55 ana hekima sana mjuzi wa mambo mengi
-anaye kitambi mchuzi yanii anakaafya Fulani hivi, anakaribia kustaafu (uzee unamnyemelea [emoji23]) ameoa
- mtanashati huyu jamaa ni mbeambea Fulani hivi (silawadu) umri wake kama 21-25-> nasikia umbea unalipa [emoji23][emoji23]
- Behaviourist mzee wa chura huyu jamaa age yake ni 25-30 ni kicheche anapenda wanawake wake sana has a wenye maumbile makubwa (CHURA) Kuhonga sio shida [emoji23] namunganisha na Zero IQ nawengine wa aina yake (CHAMA CHA MABACHELAA TZ)
- Shunie mrembo huyu wa jf anonekana yupo smart kichwani hadi mwilini sio mnene wala mwembamba ni mweupe fulani hivi amaizing ameajiriwa
- anaye bwana (DANGA) wa maana mwenye mshiko
ANAYEPINGANA NA MIMI ASEMA AU AJE GHETTO TUPIGANE [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mkuu kuna ajali huku unaikumbuka...??.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Mshana;Yuko above 44-48,alikuwa mwaajiriwa wa jeshi la Magereza na amaeacha akiwa na cheo cha juu kiasi,mzaliwa wa Upareni ,kwa sasa ni mjasiliamali wa kati na anafanya shughuli za ufugaji hasa wa kuku na nguruwe,yuko smart mzee wa kuchomekea na suti mara chachechache,ameoa na ana watoto 3 wa kwanza wa kike yuko kidato cha nne. Baada ya kazi upata moja mbili na uwahi nyumbani kujumuika na familia,hajawahi kukosa chakula cha usiku na familia yake anayoipenda sana akiwa maeneo ya home,ni baba wa mfano
Over
Hahahahahah,karibu bro nimekubamba!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitatoa zawaidi kwa atakae toa maelezo ya kijana aise
Huyu dogo hata akina Maxence Melo wamemchunguza wamemshindwa sijui tumuite Anonymous au Ghost
Zawadi bado ipo?
Marahaba kwa niaba yakeespy
umri wake ni kati ya 28 na 34, ni mwembamba ila si sana, yani hana chura mkubwa mkubwa wala matiti kama Mzigua90. ni mzuri wa sura, mwerevu, mwenye roho nzuri, wife material, funny en mwenye kuchangamka mda wote.
she analytical, anachukulia vitu kwa uzito sana huku anajifanya she is simple. usipomjua utadhan hajawah kuwa serious lakin she is.
Mama shikamoo
Sent using Jamii Forums mobile app
umetokea wapi Liroooooooooo? ila sema ukwel nimempatia mama?Marahaba kwa niaba yake
@FaizaFoxy mama letu - huyu ni kati ya 58 - 68 anakula pensheni japo hakustaafu ila ana matunda ya uzeeni,anavaa simple tu hana shangwe nyingi,anasuka mangongo tu hana habari ya mawigi.
Umesahau sifa moja ya FaizaFoxy kuwa anamiliki bahasha yenye nyaraka za taraka, kwani aliolewa na kuachika mara sita kipindi hajawa kikongwe.
Kwamba FaizaFoxy Hafai hata kulumangia na Kachumbari?
Heri ya mwaka mpya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimewapunguzia kazi..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimefurah sana maana umejielezea mwenyewe, hata mada hukuielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja alinifwata pm ananiambia nisitumie jina langu huku wanatumia fake id ππ wakati nimemzidi miaka minne tangu niingie jf.hahahahaha nilitaka kujibu hivi nikakausha.
eti huku tunaitana mkuu [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja alinifwata pm ananiambia nisitumie jina langu huku wanatumia fake id ππ wakati nimemzidi miaka minne tangu niingie jf.