Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekiona Mtambo wa Mauti cha Kenya.Mwenye kuhitaji kuazimwa fursa hiyo.....![]()
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Nitajie majina yake kwanza hivyo vitabuSogea karibu nikusomee
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mbaya zaidi, anaeomba awe Me....[emoji23] [emoji23]Ila mwanangu kuomba assist jf yahitaji roho ya paka kama Joram Kiango
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Basi siufumbi, nakuja hapo nikupitie twende Pestana....[emoji39] [emoji39][emoji16]We lala tu mdomo wazi inzii na mmbu waingie
Soma mkuu..usijeukarudi chuo mapema mwezi wa tisa wakati wenzako wapo likizo..Ila nyie watu wa jf mmeniweza , yani naacha kusoma madesa ili kesho nifanye test 2, badala yake nasoma comment zenu af nacheka mwenyew!!! Sio siri comment za humu Na mada zake kam breakfast, lunch and dinner
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipitie nipo apa carnival namalizia bapa languBasi siufumbi, nakuja hapo nikupitie twende Pestana....[emoji39] [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23]kesho utajaza comment ulizozisoma humuIla nyie watu wa jf mmeniweza , yani naacha kusoma madesa ili kesho nifanye test 2, badala yake nasoma comment zenu af nacheka mwenyew!!! Sio siri comment za humu Na mada zake kam breakfast, lunch and dinner
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohhhooooo....[emoji134] [emoji134] [emoji134]Nipitie nipo apa carnival namalizia bapa langu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimefurah sana maana umejielezea mwenyewe, hata mada hukuielewa.Agata Edward: kati ya 37_45 ni mama wa nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we toka ndukiiii tu ...huniweziOhhhooooo....[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Yaani unakata jibapa....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Naomba nikuachie tu yule ulie zowea kumliza.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
mkuu Mimi je?? utabiri pleaseZero IQ
Huyu ni kijana 20-23 anasoma chuo na anakaa kwao
Kanungila Karim
huyu ni 23-25 yuko 3rd year au ndio ameanza kazi
@Genta
Huyu ni mid 20's au late 20's ni muajiriwa, au kajiajili na anakula sana watoto wa watu huko dasilamu huku akijidai ana busara "zilizotukuka"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama weni jini, misina duka la nguo bhana.....[emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we toka ndukiiii tu ...huniwezi
Ok mpenzi..
[emoji3] [emoji3] [emoji3] we acha tu, ila lazima nipitie hiz comment Kwanza, ntasoma asubuhi[emoji23][emoji23][emoji23]kesho utajaza comment ulizozisoma humu
Wewe ni 20'S bishoo fulani hivimkuu Mimi je?? utabiri please
Kwa haraka haraka wewe elimu yako ni kati ya darasa la saba mpska form four.mkuu Mimi je?? utabiri please