Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Miaka 27 - 33
Uko bize na mambo yako japo una muda wa kukutana na marafiki mara moja moja kwaajili ya kuburudika na kubadilishana mawazo, huna marafiki wa karibu asilimia kubwa ya watu wako ni wale unaofanya nao kazi/ biashara.
Si mtu wa maneno mengi
Unajipenda kawaida, yaani haupo rafu ila sio wale wanaojipenda sana.
Si rahisi mtu kukujua we ni mtu wa aina gani maana mara nyingi sio mwepesi kuonyesha hisia

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, naomba uniambie mtandao unao tumia tafadhari..ili pakikucha tu nkutumie mgao wa vocha.
Point uliyo hit zaidi ni hyo ya age.. though 27 natimiza mwezi wa 5
 
Kwa haraka haraka wewe elimu yako ni kati ya darasa la saba mpska form four.

Lakini pia umri ni kati ya 22 -28,ni mtu huna future na maisha yako,hujawahi kuwaza kuoa kwa sababu bado unakula ujana.

Unapenda kufunga nywelee some times unapiga viduku,unapenda kuvaa jeans na laba kali ksli ambazo unajiksmus kweli kweli kununua,alafu unajifanya bishoo wa mjini.

Unachelewa sana kulala,unapenda sana mziki na viwanja,unakunywa kimtindo lakini mara nyingi hununui wewe.

Unakofia(kepu)bila shaka alafu kama nakuona na zile iafoni kubwa zinszokatisha kichwa.

Niishie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂mkuu kwanini usiwe mtabiri tuu..?? umepita mule mule!... dah
 
espy

umri wake ni kati ya 28 na 34, ni mwembamba ila si sana, yani hana chura mkubwa mkubwa wala matiti kama Mzigua90. ni mzuri wa sura, mwerevu, mwenye roho nzuri, wife material, funny en mwenye kuchangamka mda wote.

she analytical, anachukulia vitu kwa uzito sana huku anajifanya she is simple. usipomjua utadhan hajawah kuwa serious lakin she is.

Mama shikamoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok mpenzi..
Kuna
-mtambo wa mauti
Salamu toka kuzimu
-roho ya paka[emoji813]
-mikononi mwa nunda[emoji813]
~Dar es salaam usiku.
-najisikia kuua tena
--Mikataba ya kishetani[emoji813]
-Daima nitaheshimu polisi.
Hivyo ndio vitabu nilivyonavyo vyenye alama [emoji813] ndio nimevimaliza kuvisoma.
Pia nina Compilation ya gazeti la mwaka 96 lenye hadithi ya Tutarudi na roho zetu?? Zote by Ben

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Daah nimesoma salamu kutoka kuzimu, mikononi mwa nunda na tutarudi na roho zetu? (Hiki kipo cha kizungu pia kinaitwa Zero Hour)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa haraka haraka wewe elimu yako ni kati ya darasa la saba mpska form four.

Lakini pia umri ni kati ya 22 -28,ni mtu huna future na maisha yako,hujawahi kuwaza kuoa kwa sababu bado unakula ujana.

Unapenda kufunga nywelee some times unapiga viduku,unapenda kuvaa jeans na laba kali ksli ambazo unajiksmus kweli kweli kununua,alafu unajifanya bishoo wa mjini.

Unachelewa sana kulala,unapenda sana mziki na viwanja,unakunywa kimtindo lakini mara nyingi hununui wewe.

Unakofia(kepu)bila shaka alafu kama nakuona na zile iafoni kubwa zinszokatisha kichwa.

Niishie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu huu tabiri kiboko hebu nitabirie na mimi basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom