Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Shunie

age - 27-34

kazi-atakuwa ni muajiriwa private sector

muonekano - atakuwa ni mrefu ila sio sana/white/ sio mnene sio mwembamba/ ana umbo flan hivi/ ana nywele ndefu ila anapenda kushonea weaving

atakuwa anashabikia man united na nimpenzi wa heineken baridiiiiiii

gari atakuwa anapush - black metalic bmw 1 series (116i) model of 2011

atakuwa anaishi dsm

anaonekana anaendaga trip za South Africa na Dubai mara kwa mara

kiufupi anaonekana siyo mtu wa mchezo mchezo huyu

nyie muiteni Shunie mimi namuitaga insta babe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usiniulize kwa nini nimecheka nipo nimesimamia mwendokasi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usiniulize kwa nini nimecheka nipo nimesimamia mwendokasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niache tu nikuulize kwann umecheka insta babe.... alafu unavyopenda ubishi basi utapingana na utabiri wangu akati mulemule yani [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niache tu nikuulize kwann umecheka insta babe.... alafu unavyopenda ubishi basi utapingana na utabiri wangu akati mulemule yani [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahahah
Insta babe nimecheka sana ulichopatia ni kuhusu kushabikia man u na kupenda heineken [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila nakupenda mm jamaniii hujui tu unavyonivunja mbavu zangu insta babe wangu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usiniulize kwa nini nimecheka nipo nimesimamia mwendokasi
😂😂😂
 
Hahahhahahah
Insta babe nimecheka sana ulichopatia ni kuhusu kushabikia man u na kupenda heineken [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila nakupenda mm jamaniii hujui tu unavyonivunja mbavu zangu insta babe wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] insta babe rangi pia nimepatia ujue pamoja na trips na joburg [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom