Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
hahaha 😊, basi me ni mwananchiiAsante, niliona unatembeza likes tu nikaona ngoja nikufukunyue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha 😊, basi me ni mwananchiiAsante, niliona unatembeza likes tu nikaona ngoja nikufukunyue
mi mwananchii, naanzaje kushabikia makolo kwa mfano 🤨Mnaturuka sana mwaka huu.
Mwakani tusione kichwa chako ukijiita mnyama.
Mkuu nakusalimu kwa jina la jamuhuri![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Watu wa Yangu shida yenu huwa ni gani?
Mtu akiwa amekaa zake ametulia...Mnamuanza siyo?
Pelekeni huko[emoji2]Mkuu nakusalimu kwa jina la jamhuri!
Bwana Yesu asifiwe!Pelekeni huko[emoji2]
Amina..Bwana Yesu asifiwe!
Auntie jamhuri ya Tanzania bwana we!! 🤣🤣🤣🤣Jamhuri ya wapi etii mpira haramu sishabikii auntie
Huo ni ushamba na ujinga.Mbona Simba hawakuwahi kuwatakia pole wajinga wote ambao hawakuwahi kupata matokeo/ubora kwa miaka yote mingi iliyopita?Masikini akipata.... ..... .....!GENTAMYCINE pole sana ila upunguze mdomo na uongo uongo, Simba msimu huu hakuwa na kikosi cha maana.
Mtani punguza hasira!! Wapi kuna sheria kuwa ni lazima tufanye kila mlichofanya nyie?Huo ni ushamba na ujinga.Mbona Simba hawakuwahi kuwatakia pole wajinga wote ambao hawakuwahi kupata matokeo/ubora kwa miaka yote mingi iliyopita?Masikini akipata.... ..... .....!
Kwa nini muone ajabu na kupagawa kizuzu kwa yaliyofanywa na Simba miaka mingi iliyopita na hamkusimangwa?Mtani punguza hasira!! Wapi kuna sheria kuwa ni lazima tufanye kila mlichofanya nyie?
Upo dunia hii hii au umetua duniani leo? Hatukusimangwa?!!!!!😳😳😳Kwa nini muone ajabu na kupagawa kizuzu kwa yaliyofanywa na Simba miaka mingi iliyopita na hamkusimangwa?
Mnaturuka sana mwaka huu.
Mwakani tusione kichwa chako ukijiita mnyama.
Vueni nguo mserebuke kama kawaida yenu.Upo dunia hii hii au umetua duniani leo? Hatukusimangwa?!!!!!😳😳😳
Wakati hata hapa umetusimanga!!
Hatujaona ajabu, bali tunawakumbuka watani zetu kwa upendo. Pokea salamu ndugu mtani🤣
Punguza hasira mtani🤣🤣🤣Vueni nguo mserebuke kama kawaida yenu.
Ulivyomeza ulijamba ushuzi wa ngomani?Kameze omo