Mtaji nitafute mimi, biashara nianzishe mimi, wewe uamke uje kunitishia , eti ni serikali, dunia ni kubwa sio lazima kukaa kariakoo

Mtaji nitafute mimi, biashara nianzishe mimi, wewe uamke uje kunitishia , eti ni serikali, dunia ni kubwa sio lazima kukaa kariakoo

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Maneno ya rafiki yangu mkinga .
Kama mnavofahamu , mchakato wa kusimama kibiashara ni mgumu sana , serikali wao wanawaza kukusanya tu Kwa sera zao mbovu.
Hakuna mfanyabiashara anaweza kukataa kulipa kodi hayupo , lakini kodi iwe stahimilivu inayoweza kulinda biashara yangu na sio tozo na kodi za kunifilisi.
Bandari iko Dar , lakini bidhaa Dar bei ghali kuliko Malawi na zambia na Uganda ambao wanapitoshia bidhaa zao kwenye bandari yetu.
Hiyo haiwezekani, eti unanijia na vitisho wakati haujui mtaji nilipataje na biashara yangu naendeshaje.
Wanaume hua hawatishiwi Kwa lolote, umefunga sera mbovu Rudi nyuma , tuongee tutatue tatizo na sio kufanya ujuha ,
Jamaa kasema bidhaa Kwa mfano kontena ya kanga , vitenge, viatu, kila kontena kodi yake iwe wazi ili inulikane kwamba kontena imefika basi mtu akachukue mzigo wake na alipe kiasi kinachojulikana sio kila mzigo makadirio ambayo hayana kichwa Wala miguu huku ni kuumizana,
Serikali mjitafakari ndio maana watu wengi wameanza kutokuweka pesa benki ili likiharibika jambo mtu unasogea nchi nyingine unapiga biashara kama kawaida.
Msitutishe, msitutishe ninyi endeleeni kula rushwa tu hamjui lolote kwenye biashara .
 
Tatizo wananchi tumekubali kuongozwa na watu wasio na sifa ya kutuongoza. Na madhara yake ndiyo haya sasa.

Haiwezekani mtu ahangaike mwenyewe kwenye kutafuta usiku na mchana, halafu unataka mgawane pasu kwa pasu huku ukiwa umeweka tumbo lako kwenye kivuli.
 
Maneno ya rafiki yangu mkinga .
Kama mnavofahamu , mchakato wa kusimama kibiashara ni mgumu sana , serikali wao wanawaza kukusanya tu Kwa sera zao mbovu.
Hakuna mfanyabiashara anaweza kukataa kulipa kodi hayupo , lakini kodi iwe stahimilivu inayoweza kulinda biashara yangu na sio tozo na kodi za kunifilisi.
Bandari iko Dar , lakini bidhaa Dar bei ghali kuliko Malawi na zambia na Uganda ambao wanapitoshia bidhaa zao kwenye bandari yetu.
Hiyo haiwezekani, eti unanijia na vitisho wakati haujui mtaji nilipataje na biashara yangu naendeshaje.
Wanaume hua hawatishiwi Kwa lolote, umefunga sera mbovu Rudi nyuma , tuongee tutatue tatizo na sio kufanya ujuha ,
Jamaa kasema bidhaa Kwa mfano kontena ya kanga , vitenge, viatu, kila kontena kodi yake iwe wazi ili inulikane kwamba kontena imefika basi mtu akachukue mzigo wake na alipe kiasi kinachojulikana sio kila mzigo makadirio ambayo hayana kichwa Wala miguu huku ni kuumizana,
Serikali mjitafakari ndio maana watu wengi wameanza kutokuweka pesa benki ili likiharibika jambo mtu unasogea nchi nyingine unapiga biashara kama kawaida.
Msitutishe, msitutishe ninyi endeleeni kula rushwa tu hamjui lolote kwenye biashara .
Vyote hivyo vingekuwa vyako na ungekuwa sahihi kama tuu una Nchi Yako unayomiliki ila kama unalazimiika ku operate Kwa matakwa ya Nchi,mpaka hapo huna chako ,Kila kitu ni Mali ya Umma kuanzia wewe mwenyewe na unavyodai ni vyako.

Tanzania ni Nchi ya kijamaa usisahau hili.
 
Vyote hivyo vingekuwa vyako na ungekuwa sahihi kama tuu una Nchi Yako unayomiliki ila kama unalazimiika ku operate Kwa matakwa ya Nchi,mpaka hapo huna chako ,Kila kitu ni Mali ya Umma kuanzia wewe mwenyewe na unavyodai ni vyako.

Tanzania ni Nchi ya kijamaa usisahau hili.
Hii sio kweli wewe ndio mali ya nchi sio mfanyabiashara anaejielewa, tunataka sheria za haki kukwepa kodi na wala mtu asikamatwe tunajua sana
 
Hii sio kweli wewe ndio mali ya nchi sio mfanyabiashara anaejielewa, tunataka sheria za haki kukwepa kodi na wala mtu asikamatwe tunajua sana
Sawa endeleeni kukaza,itafika pointi tutajua ni Mali ya Umma au ya nani 😂😂😂😂

Kuna watu walitupa pesa walizodai wametafuta wao enzi za Nyerere,hata Sasa unaweza pewa Jamba Jamba na ukajikuta wewe ni mjinga mmja tuu ila unajifanya una akili.

Tanzania ni Nchi ya kijamaa sio ya kibepari.Msitumie huruma ya mama vibaya.

View: https://www.instagram.com/reel/C8pC2OoKAJB/?igsh=b3g4cmtkeDVmNjdu
 
Sawa endeleeni kukaza,itafika pointi tutajua ni Mali ya Umma au ya nani 😂😂😂😂

Kuna watu walitupa pesa walizodai wametafuta wao enzi za Nyerere,hata Sasa unaweza pewa Jamba Jamba na ukajikuta wewe ni mjinga mmja tuu ila unajifanya una akili.

Tanzania ni Nchi ya kijamaa sio ya kibepari.Msitumie huruma ya mama vibaya.
Huruma ipi hiyo
 
Maneno ya rafiki yangu mkinga .
Kama mnavofahamu , mchakato wa kusimama kibiashara ni mgumu sana , serikali wao wanawaza kukusanya tu Kwa sera zao mbovu.
Hakuna mfanyabiashara anaweza kukataa kulipa kodi hayupo , lakini kodi iwe stahimilivu inayoweza kulinda biashara yangu na sio tozo na kodi za kunifilisi.
Bandari iko Dar , lakini bidhaa Dar bei ghali kuliko Malawi na zambia na Uganda ambao wanapitoshia bidhaa zao kwenye bandari yetu.
Hiyo haiwezekani, eti unanijia na vitisho wakati haujui mtaji nilipataje na biashara yangu naendeshaje.
Wanaume hua hawatishiwi Kwa lolote, umefunga sera mbovu Rudi nyuma , tuongee tutatue tatizo na sio kufanya ujuha ,
Jamaa kasema bidhaa Kwa mfano kontena ya kanga , vitenge, viatu, kila kontena kodi yake iwe wazi ili inulikane kwamba kontena imefika basi mtu akachukue mzigo wake na alipe kiasi kinachojulikana sio kila mzigo makadirio ambayo hayana kichwa Wala miguu huku ni kuumizana,
Serikali mjitafakari ndio maana watu wengi wameanza kutokuweka pesa benki ili likiharibika jambo mtu unasogea nchi nyingine unapiga biashara kama kawaida.
Msitutishe, msitutishe ninyi endeleeni kula rushwa tu hamjui lolote kwenye biashara .
Na wewe mtiaada endelea kukaza 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C8pC2OoKAJB/?igsh=b3g4cmtkeDVmNjdu
 
Back
Top Bottom