Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

Inawezekana kwa eneo uliopo ww uko mnatengeneza hiyo faida ila Kuna maeneo niliopo mim uku nzega nishindani Kila mtu anataka auze so faida Iko hivo ukiweka Bei kubwa huuzi
 
Mkuu hapo awali miaka nyuma kidogo ndo ilikua faida kwa mfuko 35000 baada ya supply kuwa wengi ikaingia tabia ya ushindani Kila mtu kutaka kuuza kufikia Sasa kushusha Bei masupply wapya wanashusha Bei ili wauze sana mnajikuta mnakimbizana nao Bei hiyo hiyo ya faida 900
 
Kilimo we kione tu kwenye vipeperushi. Kilimo ni zaidi ya jeshi.
 
Umeweka UTT hiyo Mil 46 kwa mwezi utapata around 400,000.. miezi miwili utapata zaidi ya 800,000
Yaani milioni 46 halafu nitafute faida ya laki 4 kila mwezi? Kama kama biashara kichaa hiyo.
 
Sasa mkuu UTT kwa mwaka unapewa 11% Sasa kwa m100 ni sawa na 11m unapewa. Sasa mkuu hakuna biashara ya kuzunguusha hiyo m100 ikazaa zaid ya 11m nnayopewa na UTT.
Ndio maana kampuni za kubet zinafanikiwa sana hapa bongo.
 
Nashauri chukua hiyo pesa kaweke UTT, utapata faida kiliko hicho unafanya.
Suppose akichukua hiyo hela, akichukua aka-beti kwa timu tofauti tofauti anaweza kupata zaidi uliko hiyo ya sukari.

Ijumaa hii Yanga anatolewa, simba anatolwa, akiweka milioni moja milioni anapa zaidi ya 20m .

#Akiliwa asilaumu.
 
Huo mchele wenzetu mnanunua wapi.
 
Chief kwa hapo nzega inaonekana utachelewa ungejaribu kuhamia sehemu yenye mzunguko zaidi kama mwanza au kahama unaweza kupiga hatua zaidi.
 
Nitafute 0688954729 Njoo Mtwara wilaya ya Nanyumbu tununue ufuta na kuuza ghalani faida ya 30% mpaka 40% kwa kilo , au karanga tutanunua mashineni kuuza mwanza au dar kwenye maghala ya wachina au wahindi
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ingia kwenye mazao nunua kwa mkulima uza kwa wahindi.

Utazungusha hela yako na kuoata faidi kwa muda mfupi
 
Kweli penye miti hapana wajenzi

All the best mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…