Erengo
Senior Member
- Mar 7, 2022
- 102
- 186
Bei ndogo tu 120,000/= ambapo kwa haraka haraka atapata mifuko 200 kwa pesa yake hiyo hapo hajagusa vitu kama mafuta ya kula ambapo lita 20 inagota 115000 hajaweka ngano hapo bado vitu kama sigara na nk maduka yale ni mabilioni akitaka kufanya biashara ya duka ni vyema akafungua duka la kawaida na si la jumla…Ni bei gani mu habesh
Kidogo angekuwa na 250- 300 million kidogo ingetosha kabisa kuanzisha biashara ya jumla..