Mtaji wa Tsh milioni 25 nifungue Hardware ndogo au duka la jumla la bidhaa za matumizi ya kila siku?

Mtaji wa Tsh milioni 25 nifungue Hardware ndogo au duka la jumla la bidhaa za matumizi ya kila siku?

Ni bei gani mu habesh
Bei ndogo tu 120,000/= ambapo kwa haraka haraka atapata mifuko 200 kwa pesa yake hiyo hapo hajagusa vitu kama mafuta ya kula ambapo lita 20 inagota 115000 hajaweka ngano hapo bado vitu kama sigara na nk maduka yale ni mabilioni akitaka kufanya biashara ya duka ni vyema akafungua duka la kawaida na si la jumla…

Kidogo angekuwa na 250- 300 million kidogo ingetosha kabisa kuanzisha biashara ya jumla..
 
Ukianza Biashara utakayochagua, usiache kufunga mfumo wa kusimamia mauzo na stock
mfumo gani mkuu ? CCTV system au Software ipi itasaidia hilo
 
mfumo gani mkuu ? CCTV system au Software ipi itasaidia hilo
Mfumo unaokusaidia kusimamia Biashara yako kuanzia kuagiza bidhaa kuingiza kwenye stores zako na duka lako, kuuza, matumizi mengine, akaunti za Benki MPESA, TigoPesa et al na kukupa report kama faida/hasara na breakdown yake, madeni na mali.

Unaweza kui access popote na ina web na mobi app
 
Mfumo unaokusaidia kusimamia Biashara yako kuanzia kuagiza bidhaa kuingiza kwenye stores zako na duka lako, kuuza, matumizi mengine, akaunti za Benki MPESA, TigoPesa et al na kukupa report kama faida/hasara na breakdown yake, madeni na mali.

Unaweza kui access popote na ina web na mobi app
Kwa mtaji huo anaweza kupata hiyo system kwa Tsh ngapi, pia kwa mtu anayetegemea kuajiri mtu wa kusimamia biashara hiyo system itamfaa?
 
Friends,

Natumaini hizi zote ni idea nzuri ila ni ipi kati ya hizi iko very promising, yenye mzunguko mzuri wa pesa kwa sasa na kunikuza pakubwa baadae.

Karibuni
Biashara haiulizwi,biashara ni tabia,hulka ya mtu husika na hawezi kuelekezwa wala kutokujua nini afanye, hua anafanya na atauliza kwa wenzie baadae kujua ABC ya wafanya biashara wa mtaa mwingine au mkoa mwingine kujua wao wanafanyaje, ukiwa hujawahi kushika biashara na si tabia yako,yamkini ukapoteza pesa japo ukweli ni kwamba biashara nzuri kwa mtu ni kile anacho kijua na kukitamani toka akiwa mtoto

Tchao
 
Friends,

Natumaini hizi zote ni idea nzuri ila ni ipi kati ya hizi iko very promising, yenye mzunguko mzuri wa pesa kwa sasa na kunikuza pakubwa baadae.

Karibuni
Fungua Min Super Market nzuri pangilia bidhaa zako hasa zile zinazo liwa kila siku kama Unga, Mchele nk. Unaweka kwenye Packages za Ikg na 2kg kulingana na wateja wako Unaweza kutengeneza vifungashio vyako ili kujibrand zaid, Upande mwingine unaweza kuweka vinywajivya takeaway kama imani yako inakuruhusu. Kama eneo ni zuri unaweza kuweka hadi vitu kama nyanya, karoti, matunda nk, Lakini vyote hivyo viwe kwenye quality nzuri hakika utaliteka eneo hilo na utaingiza faida nzuri Muhimu Eneo lisiwe uswahilini.
 
Bei ndogo tu 120,000/= ambapo kwa haraka haraka atapata mifuko 200 kwa pesa yake hiyo hapo hajagusa vitu kama mafuta ya kula ambapo lita 20 inagota 115000 hajaweka ngano hapo bado vitu kama sigara na nk maduka yale ni mabilioni akitaka kufanya biashara ya duka ni vyema akafungua duka la kawaida na si la jumla…

Kidogo angekuwa na 250- 300 million kidogo ingetosha kabisa kuanzisha biashara ya jumla..
Nachukia sana watu kama wewe mmekaa kupotosha na kukatisha watu tamaa ujui kitu piga kimya, mifuko 200 yote ya nini na ukiwa mjini gari za bidhaa zinapita tofauti ata mara 3 kwa siku.

Yupo mtu namfahamu kwa mtaji wa mil20 duka la jumla anasomesha wanae watatu shule za kishua, anakula vizuri analala pazuri ana bajaji kadhaa, pikiki kadhaa kupitia hiyo hiyo business na mtaji kama huo unaosema unatosha kununua mifuko 200
 
Nachukia sana watu kama wewe mmekaa kupotosha na kukatisha watu tamaa ujui kitu piga kimya, mifuko 200 yote ya nini na ukiwa mjini gari za bidhaa zinapita tofauti ata mara 3 kwa siku.

Yupo mtu namfahamu kwa mtaji wa mil20 duka la jumla anasomesha wanae watatu shule za kishua, anakula vizuri analala pazuri ana bajaji kadhaa, pikiki kadhaa kupitia hiyo hiyo business na mtaji kama huo unaosema unatosha kununua mifuko 200
Acha tuu, ndugu,

Ahsante sana boss.

Yeye, duka lake kaliweka katika location ya aina gani?
 
Ukiliza.uliza sna hutafika mwisho mwema. Wata kumislead tu

Fanya kile unachowezza tu biashra nyingi Zina Siri kubwa san
 
anhaaaa…. Okay
bonge la idea
kama ni kweli

Kuhusu hiyo ya mikoani Kwa hiyo duka la vipuri Singida mjini lina faida kuliko likiwa Mtoni Kijichi, D’Salaam ?
Ahahaha
Unanikimbusha wauza spare pale singida kina lisu na kina masimbo wale wanapeza sprae zinalipa ila biashar pia Ni Siri snaa tu
Mm nimekah singida aise usipokuwa makini utanyanyua mikono juu
 
Back
Top Bottom