Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
James Mbatia yuko wapi?Mama Tanganyika lazima akombolewe toka mikononi mwa wakoloni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
James Mbatia yuko wapi?Mama Tanganyika lazima akombolewe toka mikononi mwa wakoloni.
Tatizo ni elimu ya hovyo tunayofundishwa toka tukiwa wadogoAnaeleweka zaidi kwa kuwa follow mitandaoni kina mond, zuchu, mario, Paula, harm na wote wanaofanana na hao.
Ila kwenye kwenye mipango kuhusu future ya maisha yake hajielewi kabisa.
Na Ufisi Ufisi!Hivi wabongo tuko na uhulka wa unyani unyani?
Na unyumbu nyumbu 😂Na Ufisi Ufisi!
😂😂😄Na unyumbu nyumbu 😂
Hujitambui na hutakaa ujitambue hadi unakufa!Haya ndo maelekezo kutoka Nairobi?
Hapo ndio unaona umetupoteza maboya ile mbaya!Akombolewe na nani? Tangu lini kukawa na jitihada za kumkomboa Tanganyika kutoka Nairobi?
Hamna mtu anataka ww uende kuandamana, maana hujawahi kuandamana kulinda mali za nchi hii zaidi ya kuandamana kushangilia ule ushirikina uitwao mwenge wa uhuru.'…watakaoenda kuandamana…' sio '…tutakaoenda …'
akili za kuambiwa dilute na za kwako
Wewe ndie muoga, unaefanya harakati za ukombozi na kuhamasisha maandamano nyuma ya keyboard.....🤣Acha uoga
kwanini we usiwepo? Au unasubiri kwenda kuwaona hospitalini? Hakuna kima ataingia barabarani niamini. Hii siyo Kenya.
nenda katibiwe ukomboe kwanza hiyo afya yako ya akiliMama Tanganyika lazima akombolewe toka mikononi mwa wakoloni.
we ndio hujielewi, waliotafuta uhuru wa nchi hii siyo wazunguMtu mweusi huyu hapa, yaani ni zaidi ya kondoo hapa duniani hajielewi, hajui chochote yaan yeye kwake kila kitu sawa tu
Kuna Wakenya wanakuja kuandamana Tanganyika?Haya ndo maelekezo kutoka Nairobi?
Sidhani kama unahusika na hilo tangazo. Ni maandamano ya wazalendo siyo makuwadi.Unatutaka TUENDE sisi wewe utakuwa wapiiii. Hovyo kabisa
Nenda ukwapige wewe kwa msaada wa DP.Watakaoandamana wapigwe tu ,ukikaidi utapigwa2
mmefikia wapi sahivi? Nyie nyumbu maandamano yaishia nyuma ya keyboard, ngese wakubwa wenye roho za kichawi waiotaka utulivuNenda ukwapige wewe kwa msaada wa DP.
Kwahiyooo unataka kuwasukumiza hao wazalendo wewe ukiwa wapiiiSidhani kama unahusika na hilo tangazo. Ni maandamano ya wazalendo siyo makuwadi.