Mtakaoenda kuandamana zingatieni haya. Lazima tupinge ufisadi

Mtakaoenda kuandamana zingatieni haya. Lazima tupinge ufisadi

Team Magufuli wanayaunga mkono maandmano
Kama wote wanaopinga huu mkataba ni team Magufuli, basi huyo mwenda zake apewe maua yake

Ni upumbavu kudhani kuungana na waungwana kupinga mkataba huu ni kuwa team Magufuli
 
Tupe update maandamano yanaendaje ama na wewe ni keyboard warrior unapiga kelele mtandaoni tu?
Njoo huku kwenye maandamano upate updates za uhakika. Sasa ww unaogopa hata kuja kuchukua updates ndio utaweza kuandamana?
 
Haya ndo maelekezo kutoka Nairobi?
Acha spinning wewe! Nairobi ya wapi? Mbona unachepusha mambo wakati wenye nchi ndio hatutaki kuuza bandari yetu kwa mafisadi?
Nakuona kila mahali unaandika kuwa eti Kenya ndio inashawishi tuikatae DPW!
 
Acha spinning wewe! Nairobi ya wapi? Mbona unachepusha mambo wakati wenye nchi ndio hatutaki kuuza bandari yetu kwa mafisadi?
Nakuona kila mahali unaandika kuwa eti Kenya ndio inashawishi tuikatae DPW!
Mimi mwananchi nataka mkataba.

Acha viongozi wako wale hela za wakenya wewe. We endelea kufuata upepo tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nenda ukwapige wewe kwa msaada wa DP.
Bongo ninavyoijua mimi haiwezekani kuwa na maandamano ya uhakika kama Cairo ,Tripoli ,Tunis hata kiasi kama ya Nairobi kisa mambo ya siasa hilo usitarajie labda miaka mingi baadae unaweza kuweka hata migambo ikatosha kuzuia na kuthibiti fujo za aina zozote.

Naomba munitag kama maandamano yatatokea popote pale niko hapa.
 
Naona Wazenji mmechanganyikiwa. Nawaonea huruma Muungano ukivunjika.

Dadadeki mmejazana Tanganyika kama mchwa; mmekwisha
Nani kakwambia mimi mzenji. Tuma picha yako ukiandamana sio unapiga kelele huku mtandaoni
 
Bongo ninavyoijua mimi haiwezekani kuwa na maandamano ya uhakika kama Cairo ,Tripoli ,Tunis hata kiasi kama ya Nairobi kisa mambo ya siasa hilo usitarajie labda miaka mingi baadae unaweza kuweka hata migambo ikatosha kuzuia na kuthibiti fujo za aina zozote.

Naomba munitag kama maandamano yatatokea popote pale niko hapa.
Wewe unadhani Maandamano ya Libya, Misri na Tunisia yalipangwa?
 
Tunawajua mnatumika kwa maslahi ya Kenya.
Hawajakuelewa hawa vipofu
Kukua kwa Bandari ya TZ kiufanisi kutaiteremsha Bandari ya Kenya kimapato.
Ki uhalisia Tz na Kenya ziko kwenye stratejic location kwa kupitisha Mizigo ya Uganda, Burundi,Rwanda,Kongo,Zamzbia, Malawi.
Lakini Tanzania ina nafasi nzuri zaidi kama itaboresha Huduma katika Bandari zake.
Ndo maana Kenya Inawatumia Chadema kufelisha mpango mkakati huu ama kwa kujua au kwa kuto kujua
 
Hawajakuelewa hawa vipofu
Kukua kwa Bandari ya TZ kiufanisi kutaiteremsha Bandari ya Kenya kimapato.
Ki uhalisia Tz na Kenya ziko kwenye stratejic location kwa kupitisha Mizigo ya Uganda, Burundi,Rwanda,Kongo,Zamzbia, Malawi.
Lakini Tanzania ina nafasi nzuri zaidi kama itaboresha Huduma katika Bandari zake.
Ndo maana Kenya Inawatumia Chadema kufelisha mpango mkakati huu ama kwa kujua au kwa kuto kujua
Hawa vipofu wataelewa tu
 
Back
Top Bottom