Mtakaoenda kuandamana zingatieni haya. Lazima tupinge ufisadi

Mtakaoenda kuandamana zingatieni haya. Lazima tupinge ufisadi

Hawajakuelewa hawa vipofu
Kukua kwa Bandari ya TZ kiufanisi kutaiteremsha Bandari ya Kenya kimapato.
Ki uhalisia Tz na Kenya ziko kwenye stratejic location kwa kupitisha Mizigo ya Uganda, Burundi,Rwanda,Kongo,Zamzbia, Malawi.
Lakini Tanzania ina nafasi nzuri zaidi kama itaboresha Huduma katika Bandari zake.
Ndo maana Kenya Inawatumia Chadema kufelisha mpango mkakati huu ama kwa kujua au kwa kuto kujua
Wanatumiwa kama matutusa fulani wasiojielewa. Hawawezi kuona huu ushindani wa kimkakati kati ya bandari ya Mombasa na hii ya Dar.

Hawawezi kuona baraka ya Mungu ya kuipa Tanzania fukwe yenye urefu wa kilomita 1420 kulinganisha na Kenya yenye fukwe isiyo na zaidi ya kilomita 500. Hawawezi kuona kuwa ndani ya miaka mitatu au minne ijayo bandari ya Dar na ile ya Bagamoyo zinakwenda kuifunika vibaya sana ile ya Mombasa.

Wanadanganyiwa pipi kwa hoja nyepesi ya waarabu na utumwa na wao wanaingia mazima kabisa kama vile mapunguani fulani wanaotembea kwa kushikwa mkono wakiwa wamekatwa shingo zao.

Mstari mmoja kwenye Biblia unasema ' watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa' na ndio huu ukosefu wa maarifa unaoitesa Tanzania ya sasa.
 
Wewe unadhani Maandamano ya Libya, Misri na Tunisia yalipangwa?
Kwa ujinga wako unadhani yalitokea tu!!..ulishawahi ona wapi muandamanaji ana silaha za kivita!?...mbona Kenya wameandamana na NATO hawakupeleka majeshi!?
 
Naona Wazenji mmechanganyikiwa. Nawaonea huruma Muungano ukivunjika.

Dadadeki mmejazana Tanganyika kama mchwa; mmekwisha
Mtatulinda na kutusindikiza kwa vifijo na nderemo.
Si mulituita wenyewe ili tuwafundisheni ustaarabu?

Sasa munajiona mnajuwa kutumia maji chooni na kukoga kwa sabuni Lux ,na kujipaka cream badala ya sabuni ,ndio munaleta ujuwaji. Wengine mpaka leo munaogopa kula pweza na Kaa.
Jaribuni muone cha moto, kama hamuwajui wazenji ndo mutajifusa sasa hivi.
Kudadek.
Tunawaamshieni Mapopobawa mpaka muombe Pooo
 
sasa kama huna begi halafu ukinyanyua mikono juu kuonyesha huna kitu mikononi, chupa ya maji utabana na matako?
 
Hamna mtu anataka ww uende kuandamana, maana hujawahi kuandamana kulinda mali za nchi hii zaidi ya kuandamana kushangilia ule ushirikina uitwao mwenge wa uhuru.
sasa hivi Mbowe na Da Mange huwezi kuwaaambia waitishe maandamano …wanajua mlichowafanyia

hadi sasa kuna wazalendo hapa wananiuliza yale maandamano ya leo yanaanzia wapi wajiunge? nmewaambia yanaanzia facebook, yanapita jf na Tweeter na mwisho yataishia Instagram
 
sasa hivi Mbowe na Da Mange huwezi kuwaaambia waitishe maandamano …wanajua mlichowafanyia

hadi sasa kuna wazalendo hapa wananiuliza yale maandamano ya leo yanaanzia wapi wajiunge? nmewaambia yanaanzia facebook, yanapita jf na Tweeter na mwisho yataishia Instagram
Haichekeshi.
 
lengo sio kuchekesha ni kueleza uhalisia dhidi ya Wazalendo uchwara waigizaji wanaotaka kuwaingiza mkenge vijana wadogo
Vijana watapigwa virungu wakati hao wanaowadanganya wakienda kula bata uraiani kama hakuna kilichotokea.

Hayati JPM alikuwa anawaambia wajitokeze hao kina Mbowe wakawe mstari wa mbele kabisa wa waandamanaji.
 
lengo sio kuchekesha ni kueleza uhalisia dhidi ya Wazalendo uchwara waigizaji wanaotaka kuwaingiza mkenge vijana wadogo
Kwahiyo ukiwa kijana mdogo huwezi kuwa mzalendo?
 
Wazanzibari mnauza nchi yetu
Mim ndiye Mzanzibar, tumeiuza kwa nani?
Mbona nyinyi mnaikalia nchi yetu Zanzibar kwa miaka 55 sasa na sisi tumeunyuti?

Wewe Zwazwa,Umezowea kushikiwa akili
Hiyo kampuni inakuja kuwekeza kwenye uendeshaji wa Bandari.
Bandari haiuzwi, lakini munadanganywa na wajinga wenzenu.

.Mbowe na Chadema yake wanawatumikia KENYA ili kuufelisha mpango wa Bandari wa Tanzania kwa maslahi ya Kenya.

Ikifeli Bandari ya TZ ni faida kwa Kenya
 
Wazanzibari mnauza nchi yetu
Mim ndiye Mzanzibar, tumeiuza kwa nani?
Mbona nyinyi mnaklia nchi yetu miaka 55 sasa na sisi tumeunyuti?
Wewe Zwazwa,
Hiyo kampuni inakuja kuwekeza kwenye uendeshaji wa Bandari.
Bandarihaiuzwi, lakinimunadanganwa
 
Back
Top Bottom