Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga

Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga

Nshomile wa Muleba

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2015
Posts
2,166
Reaction score
5,620
Jambo jambo?

Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.

Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.

Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.

Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.

Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:

- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.

- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.

- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.

- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.

- Mengine jazia kwa video.

My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.

#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama

TULIJIROGA WENYEWE



Kwasasa
Kahama,Tanzania
 
018100094042.JPG
 
Viongozi wa hii nchi wengi wamesoma Kwa kuunga unga kufail kwingi imagine PayPal haifanyi kazi bongo sababu za maana hakuna , kupata visa ya kutoboka nje tuu milolongo mirefu , mikataba ndo hyo unamwambia mwekezaji akianza kupata faida basi akufikrie na ww
 
Viongozi wa hii nchi wengi wamesoma Kwa kuunga unga kufail kwingi imagine PayPal haifanyi kazi bongo sababu za maana hakuna , kupata visa ya kutoboka nje tuu milolongo mirefu , mikataba ndo hyo unamwambia mwekezaji akianza kupata faida basi akufikrie na ww

Na hatuna balozi nyingi hapa.

kwnda Australia tu inakulazimu uende ubalozi sao wa kenya.

Hovyooo
 
Jambo jambo?

Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.

Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.

Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.

Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.

Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:

- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.

- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.

- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.

- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.

- Mengine jazia kwa video.

My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.

#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama

TULIJIROGA WENYEWE
View attachment 2670315

Kwasasa
Kahama,Tanzania
Usipate mchecheto, kwani tukiwa nyuma miaka 30 tatizo nini?
Kwani ugali wanatulisha?
 
Viongozi wetu ni akina Musukuma! Nape Nnauye anataka Elon Musk afungue Ofisi Dar es Salaam, wakati Dunia leo ni Kijiji , mtu anaweza kufanyia kazi popote alipo with help of internet!
Viongozi wa Tz ni empty headed ndo maana wanasaini mikataba ya Kimangungo!
 
Jambo jambo?

Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.

Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.

Lakini tusisahau kuwa sisiem wanatuambia kuwa nchi inafunguka na maendeleo tunayoyafanya yanaendana na nchi nyingi Afrika.

Mtaalii huyo ameenda mbali na kusema Kenya ni kama Indonesia kwa kuchapa maendeleo huku Tanzania ni kama Cambodia miaka 30 nyuma.

Ametetea point yake kwa kulinganisha yafuatayo:

- Internet Kenya iko kasi na ni very cheap huku Tanzania internet iko slow licha ya mitandao ya simu kuwa mingi na ni ghali.

- Road network Kenya na Uganda ziko vizuri huku Tanzania hali ikiwa tete mpaka kuna maeneo mjini hayana miundombinu mizuri.

- Lugha ya Kiingereza Kenya inazungumzwa kwa ufasaha na kwa wingi tofauti na Tanzania na Kenya wageni hawapati taabu.

- Ushirikiano kati ya diaspora na African Americans waliopo nchini Tanzania ni mfinyu sana huku Kenya na Uganda ikitupiga gepu.

- Mengine jazia kwa video.

My Take: Sitaki kufuatilia sana upande wa pili lakini ni dhahiri kuwa nchi hii sisiem wametuchelewesha sana na rasimali zetu zinapigwa minada waziwazi huku tukijinasibu kuwa tuna miaka 60 ya uhuru na hata Jiji la Mwanza mpaka leo halina maji licha ya kuwa jirani na Ziwa.

#Royotuwa
#Anaupigamwingi
#anafunguanchi
#nani kama mama

TULIJIROGA WENYEWE
View attachment 2670315

Kwasasa
Kahama,Tanzania
Hapo kwenye Road network namuunga mkono kwasababu huwa najiuliza Jiji kubwa la Dar es salaam ambalo ni kitovu cha biashara/ uchumi lakini lakini kuna sehemu kibao hazina lami na maji, mfano ni huku kwetu mbezi ya Mpiji, makabe na msumi.
 
Back
Top Bottom