Hebu acheni nyenyenye! Hatuna umeme huku!! Mtambo mtambo,mtambo wa nyoko?
Tatizo la umeme Tanzania halitaisha.
Tuna matatizo 2 ya msingi.
1. Majizi, wahujumu, majitu majinga yanayosifia kila kitu pasi kushirikisha bongo zao lakini pia wataalamu uchwara wasio na weledi kwahiyo kila kitu kinaenda hovyo hovyo.
Asikudanganye mtu. Tanzania watu wanaopata huduma ya umeme 43% hivi. Hata nusu ya population haifiki.
Kelele zote unazosikia tunapeleka umeme sijui wapi ni vile wanafahamu wanawaambia watanzania wasio fahamu lolote kwahiyo ni ujinga ujinga tu.
Tanzania power cut inatokea muda wowote tena hakuna taarifa wala baba yake taarifa utapata. Achilia mbali umeme wa Tanzania kuunguza kifaa chako cha umeme ni dk 0. Inabidi utumie device yakuregulate umeme.
2. Uzalishaji mdogo sana wa umeme. Sasa hivi installed capacity ni 1700MW na vile idadi ya watu inaongezeka sasa ikifika 2025 pengine tutahitaji 5000MW hivi ili umeme upatikane kweli bila mgao. Julius Nyerere Hydropower plant iko installed capacity ni 2200MW if im not mistaken.
Sasa umeme wa uhakika utapatikana vipi?
Wananchi vilaza wataendelea kupigwa sound hadi akili ikae sawa.
3. Watanzania waendelee kukaa kwa kutulia. Wale konokono gizani. Kwasababu hayo ndiyo maisha halisi ya danganyikans.