Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Haha jamaa anatuibia siri sioHiyo ni 9,8 na 7, bado 6,5,4,3,2 na 1.View attachment 2965878
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha jamaa anatuibia siri sioHiyo ni 9,8 na 7, bado 6,5,4,3,2 na 1.View attachment 2965878
Nakwambia kweli hata wakitokea hamtawaamini.Magufuli kwa kweli alikuwa mwanaume na mzalendo aliyeipenda sana nchi yetu. Mi naona ifike mahali tuache kucheka na vibwengo vilivyojivika vazi la uongozi, ambavyo kazi yao kubwa ni kuihujumu nchi yetu.
Tunawataka kina Magufuli wengi zaidi sasa kuliko wakati wowote ule ili kuilinda miundombinu yote ya kimkakati aliyoiacha Hayati JPM.
Ni kweli siyo maeneo yote. But angeweza kuvusha hii inchi toka hapa tulipo ndani ya muda mfupi sanaaa.Alikuwa kichwa yes but si maeneo yote. Tatizo lake he thought anajua kila kitu. Na shida ndio ilianzia hapa. Lakin overall alikuwa mtu sahihi wa kuleta maendeleo
Rubbish, rubbish, rubbish!Naibu waziri mkuu mh Dr Biteko amesema Mtambo namba 8 na 7 Bwawa la Umeme la Nyerere itawashwa Hivi Karibuni Baada ya Majaribio kwenda vizuri
Biteko amesema kuwashwa kwa mitambo hiyo kutamaliza kabisa tatizo la Umeme nchini
Tutampata wapi sisi Mtu kama Magufuli ambaye Mungu wa Mbinguni anakaa ndani yake?
Mlale Unono 😄😄🔥
Umeshapanic dadeki 😂Rubbish, rubbish, rubbish!