Conte Code
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 227
- 253
Yap...Bado miundo mbinu yake, itakuwa na changamoto za hapa na paleTatizo la umeme halitakwisha hata ikiwashwa mitambo yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap...Bado miundo mbinu yake, itakuwa na changamoto za hapa na paleTatizo la umeme halitakwisha hata ikiwashwa mitambo yote.
Utawashwa lini mtambo huo? Mlisema ungewashwa mwezi March, leo hi April bado mnasema utawashwa, utawashwa lini?Serikali inatarajia kuwasha mtambo wa pili wa kufua umeme kwenye bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere pamoja na changamoto ya kuzidi maji katika bwawa hilo. Mkurugenzi wa Tanesco kanda ya mashariki, Kenneth Boymanda amesema majaribio yanaendelea ambapo mtambo huo unaojulikana kama mtambo namba nane majaribio yamefanyika kuupa njia ya kuwashwa.
Mwezi uliopita uliwashwa mtambo wa kwanza wa megawati 235 na kupunguza kwa kiwango kikubwa mgao wa umeme, inatarajiwa kuwashwa kwa mtambo huu wa pili kutamaliza kabisa mgao wa umeme.
Mjina wewe na hangaya. Tukome!Hakuna anayehujumu, ni ujinga wetu tu.
WenuHakuna anayehujumu, ni ujinga wetu tu.
Ndiyo. Wetu tunaodhani kuna hujuma na kujisahau kuwa adui yetu ni ujinga.Wenu
Jamani hawa tanesco sasa wanatuchukuliaje si walisema wamezima mtambo uliowashwa sababu ya maji kuzidi wakaogopa ungeburst sasa huo mwingine wanauwashia wapi mro wami au..??Serikali inatarajia kuwasha mtambo wa pili wa kufua umeme kwenye bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere pamoja na changamoto ya kuzidi maji katika bwawa hilo. Mkurugenzi wa Tanesco kanda ya mashariki, Kenneth Boymanda amesema majaribio yanaendelea ambapo mtambo huo unaojulikana kama mtambo namba nane majaribio yamefanyika kuupa njia ya kuwashwa.
Mwezi uliopita uliwashwa mtambo wa kwanza wa megawati 235 na kupunguza kwa kiwango kikubwa mgao wa umeme, inatarajiwa kuwashwa kwa mtambo huu wa pili mwishoni wa mwezi April kutamaliza kabisa mgao wa umeme nchini.
Labda April 2025.Mwishoni mwa mwezi April..
Mkuu unapohusudu ya mwendazake kumbuka na madhila wanayopitia wakaazi wa Rufiji. Tusifurahie tu, tuwatetee na wenyeji wa Rufiji in equal measures.Naibu waziri mkuu mh Dr Biteko amesema Mtambo namba 8 na 7 Bwawa la Umeme la Nyerere itawashwa Hivi Karibuni Baada ya Majaribio kwenda vizuri
Biteko amesema kuwashwa kwa mitambo hiyo kutamaliza kabisa tatizo la Umeme nchini
Tutampata wapi sisi Mtu kama Magufuli ambaye Mungu wa Mbinguni anakaa ndani yake?
Mlale Unono 😄😄🔥
Makamba angebaki wizarani mpaka Leo angekuwa anapiga danadanaNaibu waziri mkuu mh Dr Biteko amesema Mtambo namba 8 na 7 Bwawa la Umeme la Nyerere itawashwa Hivi Karibuni Baada ya Majaribio kwenda vizuri
Biteko amesema kuwashwa kwa mitambo hiyo kutamaliza kabisa tatizo la Umeme nchini
Tutampata wapi sisi Mtu kama Magufuli ambaye Mungu wa Mbinguni anakaa ndani yake?
Mlale Unono 😄😄🔥
Kwaiyo miaka ya nyuma mafariko yalikuwa yanasababishwa na bwawa?Mkuu unapohusudu ya mwendazake kumbuka na madhila wanayopitia wakaazi wa Rufiji. Tusifurahie tu, tuwatetee na wenyeji wa Rufiji in equal measures.
Bado sana walau tufikie megawatt elfu20Kwa hili la UMEME naipongeza Serikali,sasa tunaweza jiita Serikali ya ViWANDA,KUDOS!...twrnde na mengine hasa Usafiri wa Umma Dar Es Salaam + Miundombinu ya barabara
Mkuu ya sasa chanzo chake ni bwawa ili kulinusuru lisibomoke. EIA - (Environment Impact Assessment) Ilitakiwa ioneshe namna ya kushughulikia athari hiyo.Kwaiyo miaka ya nyuma mafariko yalikuwa yanasababishwa na bwawa?
Kwamba tukuamin wewe mpiga kelele wa mitandaoni na sio serikali kuwa ? Serikali imekanusha zaudi ya mara 10 kuwa bwawa limesaidia kidogo kupunguza madhira ya mafuriko wewe unasema bwawa ni chanzo cha maurikoMkuu unapohusudu ya mwendazake kumbuka na madhila wanayopitia wakaazi wa Rufiji. Tusifurahie tu, tuwatetee na wenyeji wa Rufiji in equal measures.