Mtambo wa pili bwawa la Nyerere kuwashwa, kumaliza kabisa mgao wa umeme nchini

Mtambo wa pili bwawa la Nyerere kuwashwa, kumaliza kabisa mgao wa umeme nchini

Serikali inatarajia kuwasha mtambo wa pili wa kufua umeme kwenye bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere pamoja na changamoto ya kuzidi maji katika bwawa hilo. Mkurugenzi wa Tanesco kanda ya mashariki, Kenneth Boymanda amesema majaribio yanaendelea ambapo mtambo huo unaojulikana kama mtambo namba nane majaribio yamefanyika kuupa njia ya kuwashwa.

Mwezi uliopita uliwashwa mtambo wa kwanza wa megawati 235 na kupunguza kwa kiwango kikubwa mgao wa umeme, inatarajiwa kuwashwa kwa mtambo huu wa pili kutamaliza kabisa mgao wa umeme.
Utawashwa lini mtambo huo? Mlisema ungewashwa mwezi March, leo hi April bado mnasema utawashwa, utawashwa lini?
 
Hili neno "KUMALIZA KABISA MGAO WA UMEME" linatumika vibaya sana aisee.
 
Serikali inatarajia kuwasha mtambo wa pili wa kufua umeme kwenye bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere pamoja na changamoto ya kuzidi maji katika bwawa hilo. Mkurugenzi wa Tanesco kanda ya mashariki, Kenneth Boymanda amesema majaribio yanaendelea ambapo mtambo huo unaojulikana kama mtambo namba nane majaribio yamefanyika kuupa njia ya kuwashwa.

Mwezi uliopita uliwashwa mtambo wa kwanza wa megawati 235 na kupunguza kwa kiwango kikubwa mgao wa umeme, inatarajiwa kuwashwa kwa mtambo huu wa pili mwishoni wa mwezi April kutamaliza kabisa mgao wa umeme nchini.
Jamani hawa tanesco sasa wanatuchukuliaje si walisema wamezima mtambo uliowashwa sababu ya maji kuzidi wakaogopa ungeburst sasa huo mwingine wanauwashia wapi mro wami au..??
 
Naibu waziri mkuu mh Dr Biteko amesema Mtambo namba 8 na 7 Bwawa la Umeme la Nyerere itawashwa Hivi Karibuni Baada ya Majaribio kwenda vizuri

Biteko amesema kuwashwa kwa mitambo hiyo kutamaliza kabisa tatizo la Umeme nchini

Tutampata wapi sisi Mtu kama Magufuli ambaye Mungu wa Mbinguni anakaa ndani yake?

Mlale Unono 😄😄🔥
 
Kwa hili la UMEME naipongeza Serikali,sasa tunaweza jiita Serikali ya ViWANDA,KUDOS!...twende na mengine hasa Usafiri wa Umma Dar Es Salaam + Miundombinu ya barabara
 
Hiyo ni 9,8 na 7, bado 6,5,4,3,2 na 1.
FB_IMG_17107697280223575.jpg
 
Naibu waziri mkuu mh Dr Biteko amesema Mtambo namba 8 na 7 Bwawa la Umeme la Nyerere itawashwa Hivi Karibuni Baada ya Majaribio kwenda vizuri

Biteko amesema kuwashwa kwa mitambo hiyo kutamaliza kabisa tatizo la Umeme nchini

Tutampata wapi sisi Mtu kama Magufuli ambaye Mungu wa Mbinguni anakaa ndani yake?

Mlale Unono 😄😄🔥
Mkuu unapohusudu ya mwendazake kumbuka na madhila wanayopitia wakaazi wa Rufiji. Tusifurahie tu, tuwatetee na wenyeji wa Rufiji in equal measures.
 
Naibu waziri mkuu mh Dr Biteko amesema Mtambo namba 8 na 7 Bwawa la Umeme la Nyerere itawashwa Hivi Karibuni Baada ya Majaribio kwenda vizuri

Biteko amesema kuwashwa kwa mitambo hiyo kutamaliza kabisa tatizo la Umeme nchini

Tutampata wapi sisi Mtu kama Magufuli ambaye Mungu wa Mbinguni anakaa ndani yake?

Mlale Unono 😄😄🔥
Makamba angebaki wizarani mpaka Leo angekuwa anapiga danadana
 
Kwaiyo miaka ya nyuma mafariko yalikuwa yanasababishwa na bwawa?
Mkuu ya sasa chanzo chake ni bwawa ili kulinusuru lisibomoke. EIA - (Environment Impact Assessment) Ilitakiwa ioneshe namna ya kushughulikia athari hiyo.

Mkuu mafuriko ya asili na maafa mbali mbali ya ya asili yanatokea sehemu nyingi tu nchi na watu wanaathirika.
 
Mkuu unapohusudu ya mwendazake kumbuka na madhila wanayopitia wakaazi wa Rufiji. Tusifurahie tu, tuwatetee na wenyeji wa Rufiji in equal measures.
Kwamba tukuamin wewe mpiga kelele wa mitandaoni na sio serikali kuwa ? Serikali imekanusha zaudi ya mara 10 kuwa bwawa limesaidia kidogo kupunguza madhira ya mafuriko wewe unasema bwawa ni chanzo cha mauriko
 

Attachments

  • 434475529_846896627480901_3139416211912675353_n.jpg
    434475529_846896627480901_3139416211912675353_n.jpg
    88.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom