getemsales
Member
- Feb 8, 2017
- 7
- 11
Hatua tuliofika ni kutokufungwa Goli kumi,upo hapo mkuu
Mkono, ukijumlisha vijana wanasema kitu cha tenMkuu hali ya kikosi kipana ipoje uko Misri?
Kabisa kabisa mkuuYanga ya Kimataifa ilikua vizuri kuliko simba sc kabisaa hilo halina ubishi
Kama hiiYanga ina rekodi ya bao 9 na timu ya morocco na Al ahary 6 nani katia aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena 10 bila majibuKwa sifa manara alizokua anatoa mi niliona Barcelona kwa simba cha mtoto, lkn hao aseno na barca hawajahi kula 10 mechi 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuuYanga ya Kimataifa ilikua vizuri kuliko simba sc kabisaa hilo halina ubishi
Inatosha wajitoe potelea pote wapigwe faini