Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Wa Tanzania wenzangu, uwe Simba au Yanga, nawaomba sana msiumize mioyo yenu kwa kudhani ntaweza washinda maarab! Hasa Al ahly. Ni professional team ambayo imebeba kombe la Africa 8 times. Simba ni amateur team kama ilivyo Yanga na ligi yetu ya bongo. Hatuwezi shindana na Giant club kwa waarab na Africa. Nimeanza kufatilia mpira miaka ya mwanzo ya 80. Yanga tushafungwa sana na hawa waarab hatuwezi kamwe wacheka simba. Yanga tushateswa sana na Gor Mahia enzi za akina Bob Ogola na AFC leopard za Kenya wametufunga mara nyingi sana wakati akina Charles Boniface mkwasa wakicheza. Mpaka TFF au Tanzania tutakapoamua kufanya ligi yetu iwe professional. Vinginevyo tutabaki na unazi wetu tu wa Yanga na Simba.
Nimekuelewa, ligi yetu bado sana na aina ya wachezaji wa Tanzania bado sana viwango vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe 12 Feb mnacheza nao tena ,kwa mchina hapo mwaka huu kazi mnayo .Alafu nasikia wachezaji wao 9 wa kikosi cha kwanza hawakuwaanzisha leo,sasa najiuliza wangeanza sijui ingekuwaje au labda leo kidogo walipatwa na huruma maana sijamuona beki yao Kolibaly.
 
Hatua tuliofika ni kutokufungwa Goli kumi,upo hapo mkuu
Tulia hivyo hivyo dawa iingie jichoni.

Sent from Gamboshi air line
Mimi nilijua namuuliza mtu anayejua lolote kuhusu soka kumbe walewale tu, Ila hongereni kwa hatua hiyo pekee mnayojivunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna timu hapa, timu zinajipanga mwaka hadi mwaka sisi tunaokota wachezaji wa bure tunasajili.
Timu zetu zitabaki kuwa bora hapa bongo kama hatutaweka nguvu kubwa kwenye usajili.
 
Kwa sifa manara alizokua anatoa mi niliona Barcelona kwa simba cha mtoto, lkn hao aseno na barca hawajahi kula 10 mechi 2

Sent using Jamii Forums mobile app
We ulitaka manara atoe sifa gani..ulitaka aseme simba ni dhaifu....arsenal na barcelona wamewahi fungwa ngapi nyingi katika mechi mbili????...alafu nyi jiandaeni na mechi zenu kesho mnacheza na kina alikiba...huku hakuwahusu mnamiaka ishirini mmeishia kukuona kwenye tv😂😂😂😂
 
Tarehe 12 Feb mnacheza nao tena ,kwa mchina hapo mwaka huu kazi mnayo .Alafu nasikia wachezaji wao 9 wa kikosi cha kwanza hawakuwaanzisha leo,sasa najiuliza wangeanza sijui ingekuwaje au labda leo kidogo walipatwa na huruma maana sijamuona beki yao Kolibaly.
Nanyie kesho mnacheza na kina alikiba...jiandaeni na mechi zenu hili kombe la africa linawahusu nini wakati mnamiaka 20 mnalisikia tu kwenye radio
 
5G First edition, author as vita.
5G Second edition, author al-ahly.

Ushauri wangu kwa simba hawa authors wanaoanzia na a si watu wazuri kwao mdudu simba wanamuona kama kuku rost😂😂😂😂
 
Wa Tanzania wenzangu, uwe Simba au Yanga, nawaomba sana msiumize mioyo yenu kwa kudhani ntaweza washinda maarab! Hasa Al ahly. Ni professional team ambayo imebeba kombe la Africa 8 times. Simba ni amateur team kama ilivyo Yanga na ligi yetu ya bongo. Hatuwezi shindana na Giant club kwa waarab na Africa. Nimeanza kufatilia mpira miaka ya mwanzo ya 80. Yanga tushafungwa sana na hawa waarab hatuwezi kamwe wacheka simba. Yanga tushateswa sana na Gor Mahia enzi za akina Bob Ogola na AFC leopard za Kenya wametufunga mara nyingi sana wakati akina Charles Boniface mkwasa wakicheza. Mpaka TFF au Tanzania tutakapoamua kufanya ligi yetu iwe professional. Vinginevyo tutabaki na unazi wetu tu wa Yanga na Simba.
KWA HIYO UNATAKA KUTUAMINISHA KUWA NA YANGA IMEFUNGWA LEO? HUU NI MCHEZO, NA SIMBA NDIO KAPIGWA 5 ZA PUA SASA UNALETA BRA BRA HAPA KWA KUBADILISHA MSIBA KUWA WA KITAIFA!
 
Back
Top Bottom