Nimekuelewa, ligi yetu bado sana na aina ya wachezaji wa Tanzania bado sana viwango vyaoWa Tanzania wenzangu, uwe Simba au Yanga, nawaomba sana msiumize mioyo yenu kwa kudhani ntaweza washinda maarab! Hasa Al ahly. Ni professional team ambayo imebeba kombe la Africa 8 times. Simba ni amateur team kama ilivyo Yanga na ligi yetu ya bongo. Hatuwezi shindana na Giant club kwa waarab na Africa. Nimeanza kufatilia mpira miaka ya mwanzo ya 80. Yanga tushafungwa sana na hawa waarab hatuwezi kamwe wacheka simba. Yanga tushateswa sana na Gor Mahia enzi za akina Bob Ogola na AFC leopard za Kenya wametufunga mara nyingi sana wakati akina Charles Boniface mkwasa wakicheza. Mpaka TFF au Tanzania tutakapoamua kufanya ligi yetu iwe professional. Vinginevyo tutabaki na unazi wetu tu wa Yanga na Simba.
Mliambiwa underdog povu likawatoka kisa kuwafunga walgeria,sasa angalia matokeo yako na j suoura,ukienda kwake tano zinawahusu
Nimwendo wa viganja tu
Sawa,currently Yanga tulishinda Taifa 1-0,kwao wakatufunga 2-1,wakatutoa kwa penati baada ya bahanuzi kupaisha Ila Mkuu nyie hivi viganja too muchAcha uongo Yanga vs Al ahly 1982 , Yanga ilifungwa 6-1 Yanga tena 1984 ilifungwa 4-0 Watu wa records mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilijua namuuliza mtu anayejua lolote kuhusu soka kumbe walewale tu, Ila hongereni kwa hatua hiyo pekee mnayojivuniaHatua tuliofika ni kutokufungwa Goli kumi,upo hapo mkuu
Tulia hivyo hivyo dawa iingie jichoni.
Sent from Gamboshi air line
We ulitaka manara atoe sifa gani..ulitaka aseme simba ni dhaifu....arsenal na barcelona wamewahi fungwa ngapi nyingi katika mechi mbili????...alafu nyi jiandaeni na mechi zenu kesho mnacheza na kina alikiba...huku hakuwahusu mnamiaka ishirini mmeishia kukuona kwenye tv😂😂😂😂Kwa sifa manara alizokua anatoa mi niliona Barcelona kwa simba cha mtoto, lkn hao aseno na barca hawajahi kula 10 mechi 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Nanyie kesho mnacheza na kina alikiba...jiandaeni na mechi zenu hili kombe la africa linawahusu nini wakati mnamiaka 20 mnalisikia tu kwenye radioTarehe 12 Feb mnacheza nao tena ,kwa mchina hapo mwaka huu kazi mnayo .Alafu nasikia wachezaji wao 9 wa kikosi cha kwanza hawakuwaanzisha leo,sasa najiuliza wangeanza sijui ingekuwaje au labda leo kidogo walipatwa na huruma maana sijamuona beki yao Kolibaly.
Pole mkuu,najua inauma,ila ndo mpira huo,jikazeMimi nilijua namuuliza mtu anayejua lolote kuhusu soka kumbe walewale tu, Ila hongereni kwa hatua hiyo pekee mnayojivunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua pesa iliyotumika kusuka hiyo timu!
KWA HIYO UNATAKA KUTUAMINISHA KUWA NA YANGA IMEFUNGWA LEO? HUU NI MCHEZO, NA SIMBA NDIO KAPIGWA 5 ZA PUA SASA UNALETA BRA BRA HAPA KWA KUBADILISHA MSIBA KUWA WA KITAIFA!Wa Tanzania wenzangu, uwe Simba au Yanga, nawaomba sana msiumize mioyo yenu kwa kudhani ntaweza washinda maarab! Hasa Al ahly. Ni professional team ambayo imebeba kombe la Africa 8 times. Simba ni amateur team kama ilivyo Yanga na ligi yetu ya bongo. Hatuwezi shindana na Giant club kwa waarab na Africa. Nimeanza kufatilia mpira miaka ya mwanzo ya 80. Yanga tushafungwa sana na hawa waarab hatuwezi kamwe wacheka simba. Yanga tushateswa sana na Gor Mahia enzi za akina Bob Ogola na AFC leopard za Kenya wametufunga mara nyingi sana wakati akina Charles Boniface mkwasa wakicheza. Mpaka TFF au Tanzania tutakapoamua kufanya ligi yetu iwe professional. Vinginevyo tutabaki na unazi wetu tu wa Yanga na Simba.