squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Manula ni zaidi ya pazia. Eti ndio tanzania one. Tumerogwa sana hili yaifa na aliyeturoga kafa kitambo.hakika mkuu ila hata nduda ni mzuri kuliko manula ila cha ajabu alitolewa kwa mkopo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manula ni zaidi ya pazia. Eti ndio tanzania one. Tumerogwa sana hili yaifa na aliyeturoga kafa kitambo.hakika mkuu ila hata nduda ni mzuri kuliko manula ila cha ajabu alitolewa kwa mkopo.
Golikipa mbovu sijapata kuona kwa kipindi cha miaka mitano ya hivi karibuni.Manula ni zaidi ya pazia. Eti ndio tanzania one. Tumerogwa sana hili yaifa na aliyeturoga kafa kitambo.
Hakika mkuu, haiwezekani uchukue mchezaji Kama zana coulibaly wakati batambuze yupoUmeongea vitu vya msingi sana kaka, muwekezaji anapenda timu ifanye vizuri tatizo lipo Kwa wasaidizi wake sifikirii kama wanavision aliyonayo yeye,,kuna vitu haviko sawa sifa wanazopewa hawa wachezaji foreigners na uwezo walionao ni vitu viwili tofauti,, kwenye usajili kuna uhuni Mo anafanyiwa,
Ufisadi utakuwa unatafuna hizi timu zenu, na ndizo tunategemea zitutengenezee wachezaji wa timu ya taifa.hakika mkuu ila hata nduda ni mzuri kuliko manula ila cha ajabu alitolewa kwa mkopo.
Manula ni zaidi ya pazia. Eti ndio tanzania one. Tumerogwa sana hili yaifa na aliyeturoga kafa kitambo.
Mtani poleni
Ufisadi utakuwa unatafuna hizi timu zenu, na ndizo tunategemea zitutengenezee wachezaji wa timu ya taifa.
hakika mkuu ila hata nduda ni mzuri kuliko manula ila cha ajabu alitolewa kwa mkopo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah sijui nyie watu mna nini lakinWaisrael wenyewe walikimbia misri sie Simba ni nani hata tuendeee kubaki,,mnadhani Musa alikuwa mjinga kuvuka bahari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu punguza jazba,Goli kumi fc[emoji1][emoji1]Mimi nilijua namuuliza mtu anayejua lolote kuhusu soka kumbe walewale tu, Ila hongereni kwa hatua hiyo pekee mnayojivunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasajili wachezaji waliokuja kutengeneza barabara huku alafu tuespect kushinda games
Hahaaa we can't be Serious my fellows
Simba wajipange upya na waachane kabisa na mchezo wa kuokoteza wachezaji.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa sasa professional ni mmoja tuu Chama lkn nae kamezwa na wajinga wengi SHWAIN KABISA SIMBA
Wacha bwana mwaka wa 2 huu mnashiriki kimataifa mnajiona mmefiika, wakati miaka 6 mfululizo hamjaonekana kwenye tv yanga na azam tunawaburuza tu,We ulitaka manara atoe sifa gani..ulitaka aseme simba ni dhaifu....arsenal na barcelona wamewahi fungwa ngapi nyingi katika mechi mbili????...alafu nyi jiandaeni na mechi zenu kesho mnacheza na kina alikiba...huku hakuwahusu mnamiaka ishirini mmeishia kukuona kwenye tv[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waarabu wamewaonea huruma wamewachapa vitano tu khamsa
KWA HIYO UNATAKA KUTUAMINISHA KUWA NA YANGA IMEFUNGWA LEO? HUU NI MCHEZO, NA SIMBA NDIO KAPIGWA 5 ZA PUA SASA UNALETA BRA BRA HAPA KWA KUBADILISHA MSIBA KUWA WA KITAIFA!