Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Tatizo la Simba ni kuwekeza akili na nguvu zao zote kwenye mechi ya Simba na Yanga na ikitokea wamemfunga Yanga basi kwao ni sawa na kuchukua kombe la Dunia na hata kwenye uchaguzi hyo ndo sifa kuu kabisa ya kiongozi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app