Sungura dume
JF-Expert Member
- Mar 28, 2016
- 571
- 527
Tulia dawa iwaingie mikia nyie mechi mbili goli kumi!!! Mwarabu Jana kajipigia kipindi cha pili akaona acha apige Show game....
Wewe mambo yanayoendelea kwenye michuano ambayo unamiaka 20 unaishia kuyaona kwenye tv yanakuhusu nini...hata tukifungwa mia hayakuhusu..we endelea kujiandaa namechi zenu nasikia leo mnacheza na wakina alikiba